Mpaka miaka mitano ikiisha, tutashuhudia mengiawamu ya kukurupuka hii,mpaka miaka mitano ipite mbona shida
So, kafungiwe kwa muda ili watu wajiachie ati?Kale kasheria ka mtandao kanatubana,maana tungemdescribe vizuri Mheshimiwa mtukufu wetu
ina maana unapendekeza tuendelee na dola la wala rushwa na wapiga maela - Zakarias, Azizis and the like? mziki unakuja si muda mrefu.Wakurupukaji tuuu.....na mzigo umeshawaelemea mpaka mnaomba maji,hii ni nchi bhana ina taratibu zake,huwezi kuzibadili kama unabadili ratiba ya chakula cha familia yako....hawa walifata taratibu zooote za nchi kuwa UDOM...nyie ndio mnakesha kujifanya mnshauri mpaka macho yanawavimba kumbe mnamchonganisha na wananchi tu
Kikwete oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee. Hapa mazee tumechemka. 2020 kura yangu kaikimbizaWasiwasi wangu ni kwamba inawezekana hili jambo halikujadiliwa hata kwenye Baraza la mawaziri...kama lingepita basi wasingepishana kauli,ndalichako na msemaji wa UDOM wana kauli moja,rais ana kauli nyingine, lingepita kwenye Baraza la mawaziri lazima wangeitisha ufaulu/matokea ya hao vijana,hii ingeuwa hoja kwamba hao vijana ni vilaza,hukohuko kwenye vikao vyao vya ndani, Pili lingefuata suala la milioni 800 wanazodai walimu,hili nalo si kubwa kwa serikali inayojigamba kuwa na makusanyo makubwa,wangebana huku na kule walipe waalim vijana wamalize shule,hizo hela walizobana kwenye semina na safari za nje wanapeleka wapi? Mbona Huduma za afya ziko vilevile?tunachoona ni ukosefu wa uongozi wa pamoja kati ya mawaziri na mwenyekiti wao rais..
Kuna mmoja anawavuruga
Rais anapokosea,hawezi kuomba msamaha. Katika muktadha wa kisheria,husemwa 'Kings do no wrong'. Profesa mkenya P. L. O. Lumumba,aliwahi kutuambia watanzania pale Blue Pearl,Ubungo Plaza kuwa Rais hawezi kuomba msamaha.
Hajanituma. Sijatumwa na yeyote. Mimi namwombea msamaha kivyangu tu. Ni wazi Rais ameteleza kuwaita wapata daraja la nne vilaza na wengine wa madaraja mengine vipanga. Rais aliteleza kuchanganya mambo ya wanafunzi wa St. Joseph na wale wa UDOM. Wale wa UDOM hawakurudishwa nyumbani kwakuwa ni vilaza.
Rais aliyatumia maneno vilaza na vipanga kiutaniutani tu. Hakuwa na nia ya kuudhi,kukejeli wala kuumiza. Kwa vyuoni,hata UDSM,vilaza wapo na vipanga wapo. Kiutaniutani tu. Rais asamehewe na mada ifungwe. Rais anapaswa kufanya mambo mengine!
Mzee Tupatupa-Kilaza wa Lumumba,Dar es Salaam
Uko sahii sana Pochilangu. Kuna haja ya wataalamu wa Psychology, brain na magonjwa yasiyoambukiza kuingia mzigoni. Hapa kuna bonge la tatizo. .........mabarabara hewa kibaooooo...... alisema, the QNS is nani alikuwa msimamizi wa Wizara aliyosema ina mabarabara hewa kibao?. Is it possible mtu anyejitambua akajivua nguo mwenyewe ? Obvious, NOT. sasa kwa nini iwe? KUNA TATIZOUnahitaji saikolojia ya juu kugundua tatizo la ugonjwa wa akili alionao mtu mzima. Kuna mambo yanaendelea naona kabisa huyu mtu hayuko sawa!
basi watanzania ndio tutakuwa na matatizo, kila mala tunachagua maraisi wanaoshauriwa vibaya na wanaingia mkenge! jk ilikuwa hivyo na huyu hivyohivyo?Kwa huu utofauti wa kauli,mh Ndalichako,msemaji wa chuo na mwakilishi wa wanafunzi wanaongea kauli sawa.Mh JPM anasema walikuwa ni vilaza.Sasa tuanzie hapa kujua ukweli uko wapi.Kisha tutafute suluhu.Pia napata mashaka kuwa Mh Raisi anaweza kuwa anadanganywa
Rais alieleza waziri wa elimu anafanyia kazi waliofukuzwa na kuona wale wenye ufaulu watataftiwa maeneo ya kuendelea na masomo sasa hizi kelele za nini hii inadhhrisha kuwa baadhi yao kuna vilazaJPM wangu weeee kalishwa kasa! Kama kweli hakuna Kilaza.....ni hatari kwa nchi kumdanganya President! Isije kutokea kumbe Kilaza ni Jesca pekee alieko UDOM! Naendelea kula pop corn movie ikiendelea!! Aje aombe radhi kwa lugha ya kuudhi!
kabisa aiseee,,,,,ila picha litakuwa tamu atakapokuwa mtu wa chamaMpaka miaka mitano ikiisha, tutashuhudia mengi
Angekuwa yeye sio mla rushwa angekuwa ameshatolea ufafanuzi kuhusu Jexkaina maana unapendekeza tuendelee na dola la wala rushwa na wapiga maela - Zakarias, Azizis and the like? mziki unakuja si muda mrefu.