Dada nisikukatishe tamaa. Kama umekutana na mmsai ww usiwe na wasi wasi. Tamaduni mila na desturi huenda zinabadilika. Utandawazi unatukutanisha na watu wengi wa kabila tofauti tofautiDuuh hii hataree
Vip kuhusu msiba wa mmasai? Sijawahi kisikia asee
Yapi mkuu
Jaman jaman wako bright ujueSi ndo ya kujifungua mtoto mwenye upungufu wa akili?
nahisi hili kabila ndio linaishigi miaka elfu tano uendi mbinguni weweHivi hapa Dar ulishawahi ona msiba wa masai?
Just curious!
Mh aisee kuna tabia za Kabila ndugu yangu ...mfano wanawake Warangi wote wanafanana tabia zao!?...hawana shida..japo tabia ni jambo la MTU sio kabila
Kweli kaka , mwanamke wa warangi neno hapana huwa halipo.Mh aisee kuna tabia za Kabila ndugu yangu ...mfano wanawake Warangi wote wanafanana tabia zao!?
Sijawahi bahatika kabisa sijui kwa kuwa huku mbeya adimu.Nataka kuoa mmasai naomba kujuzwa mambo kadhaa wawapo ndani ya ndoa
Mkiwa mnafanya,wanaruka ruka kama bisi kikaangoniNataka kuoa mmasai naomba kujuzwa mambo kadhaa wawapo ndani ya ndoa
, duhKuna kipindi nilikuwa natoka na mmasai fulani hivi. Siku ya kwanza kucheza nae mechi, nashangaa ile nimeanza hata dakika 2 sina, naona mtu anaanza kulia. Nikahisi labda namuumiza, so ikabidi nisitishe zoezi kidogo. Huku namshangaa,namuuliza vipi mbona unalia, au nakuumiza?
Ajabu na yeye akawa ananishangaa,then akajibu eti alisikia wenzake wanasema ukifanya mapenzi mwanamke lazima ulie, so na yy ndio analia.
Yes wanapigwa miti hatari yaani kwao ni sunna.Mh aisee kuna tabia za Kabila ndugu yangu ...mfano wanawake Warangi wote wanafanana tabia zao!?
Kuna kipindi nilikuwa natoka na mmasai fulani hivi. Siku ya kwanza kucheza nae mechi, nashangaa ile nimeanza hata dakika 2 sina, naona mtu anaanza kulia. Nikahisi labda namuumiza, so ikabidi nisitishe zoezi kidogo. Huku namshangaa,namuuliza vipi mbona unalia, au nakuumiza?
Ajabu na yeye akawa ananishangaa,then akajibu eti alisikia wenzake wanasema ukifanya mapenzi mwanamke lazima ulie, so na yy ndio analia.
Samani kina dada mlioachwa na Waume zenu Dar ....huku Dodoma Kuna Waarabu Koko noma Sana!Yes wanapigwa miti hatari yaani kwao ni sunna.
Mkuu mlipokutanaga' wewe ulikuwa na umri gani!Nilikutanaga na mmoja kisu balaa ile kufika ndani kusaula tu ni mbinde.
Kwenye game sasa yaana analalamika utafikiri kalazimishwa ilifika mahali nikaona ni ujinga nikamwambia sepa!
Wakati unampeleka machinjion ni mpole kama kondoo alienyeshewa sasa ngoja huanze game ni kama wale watoto wanaogopa kuchomwa shindano vile wanavyokabwa na madocta