Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Mhhhh!!!, Hiyo noma,Kaa kwa usawa huuuncle wangu alioaga mmasai aisee alikuwa akinunua nyama hata kilo 5 basi siku hyo hyo lazma iishe kuhusu maziwa alikuwa anataka daily
Mhhhh!!!, Hiyo noma,Kaa kwa usawa huuuncle wangu alioaga mmasai aisee alikuwa akinunua nyama hata kilo 5 basi siku hyo hyo lazma iishe kuhusu maziwa alikuwa anataka daily
Nipe Namba yake nimpigie nimpe Hongera zake.Maana huyo ni Shemeji yetu Wana JF.Umewasingizia Mke wangu ni Mmasai,
Kitandani yupo vizuri tu
Ana akili nzuri na watoto wetu wako very bright
Ni msafi sijawai ona wanayosema uchafu wao
Hajakeketwa nikimgusa kunako anakunakokika vema tu
She Is so Beautiful
Halaf wewe unaoa mmasai au muarusha? Maana waarusha wengi huwa wanajifanya ni MasaiNataka kuoa mmasai naomba kujuzwa mambo kadhaa wawapo ndani ya ndoa