Je, Wamasai ni watu wa kipekee au?

Full charge

JF-Expert Member
Mar 1, 2018
1,550
1,422
Staki niwachoshe,wakubwa kuna maswali mengi yananisumbua sana kuhusu kabila la wamasai japo siwajui kiundani.

Wajuvi naomba mnisaidie undani wa kabila hili la wamasai,baadhi ya mambo yanayonishangaza zaidi ni:

1. Je wamasai wa kule ndani ndani nao huchanjwa kama sisi,kama jibu ni hapana sasa kwanini hawapati madhara tunayoaminishwa?

2. Je wamasai wanasali haya madhehebu yetu,kama ni hapana je watakuwa watu wa kwanza kuingia motoni au kuna uwezekano wao wakawa wenye dhambi kuliko sisi?

3. Je wao na sisi ni nani yuko hatarini zaidi katika matumizi ya kemikali na utandawazi kwa ujumla?

NB: Hizi chanjo zinazotoka huko Magharibi sisi tuna uwezo wa kuzichunguza na kubaini ufanisi wake au je zaweza kuwa ndo chanzo cha kubadili homoni za kizazi chetu na kuwa mashoga? Mtanisamehe mimi siyo mwandishi mzuri
 
Of course, jamii zinazoishi maisha ya maporini na kula vyakula natural always huwa ni watu Unique tofauti na watu wanaoishi mjini.

CHAKULA ASILI NI TIBA NA KINGA PIA.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Kiukwel hapa kuna haja ya kujitafakari
 
Ndiyo mkuu, Maasai ni watu wakipekee haswaa.

Ngoja nikupatie mambo 5 yakufurahisha kuhusu Maasai.

1. Wamasai wanaamini Mungu Engai au Enkai aliumba ng'ombe kwaajili yao na wao wamasai ndiyo wamiliki halali wa ng'ombe wote duniani.

2. Wamasai ni hodari katika kutunza mazingira.

Maelfu ya miaka wamasai wameweza kuishi kwenye maeneo leo yanajulikana kama hifadhi za taifa au game reserve bila kusababisha madhara kwa manyama au mimea.

Masai wanahama hama na mifugo yao kila baada ya muda fulani na ukichunguza utagundua hii inasaidia ardhi na mimea kupata muda wakuota tena katika maeneo wanayopita.

Kwahiyo serikali kuwahamisha Ngorongoro ni janja janja tu.

3. Zamani ili uwe warrior inabidi uue simba ukiwa mwenyewe au kikundi. Hatahivyo hii hakuna siku hizi kwasababu Simba wapo hatarini kutoweka.

4. Ni ngumu sana kumshinda Maasai kuruka ukiwa umesimama wima. Unabisha? Jaribu.

5. Wanasai wakifahamu kuongea English wanaongea vizuri sana. Utapenda uwasikilize.
 
Ndiyo mkuu, Maasai ni watu wakipekee haswaa.

Ngoja nikupatie mambo 5 yakufurahisha kuhusu Maasai.

1. Wamasai wanaamini Mungu Engai au Enkai aliumba ng'ombe kwaajili yao na wao wamasai ndiyo wamiliki halali wa ng'ombe wote duniani.

2. Wamasai ni hodari katika kutunza mazingira.

Maelfu ya miaka wamasai wameweza kuishi kwenye maeneo leo yanajulikana kama hifadhi za taifa au game reserve bila kusababisha madhara kwa manyama au mimea.

Masai wanahama hama na mifugo yao kila baada ya muda fulani na ukichunguza utagundua hii inasaidia ardhi na mimea kupata muda wakuota tena katika maeneo wanayopita.

Kwahiyo serikali kuwahamisha Ngorongoro ni janja janja tu.

3. Zamani ili uwe warrior inabidi uue simba ukiwa mwenyewe au kikundi. Hatahivyo hii hakuna siku hizi kwasababu Simba wapo hatarini kutoweka.

4. Ni ngumu sana kumshinda Maasai kuruka ukiwa umesimama wima. Unabisha? Jaribu.

5. Wanasai wakifahamu kuongea English wanaongea vizuri sana. Utapenda uwasikilize.
Wamasai wanajifanyaga wajinga na hawajui kitu ila ni watu wajanja na wenye akili mno .
 
Staki niwachoshe,wakubwa kuna maswali mengi yananisumbua sana kuhusu kabila la wamasai japo siwajui kiundani.

Wajuvi naomba mnisaidie undani wa kabila hili la wamasai,baadhi ya mambo yanayonishangaza zaidi ni:

1. Je wamasai wa kule ndani ndani nao huchanjwa kama sisi,kama jibu ni hapana sasa kwanini hawapati madhara tunayoaminishwa?

2. Je wamasai wanasali haya madhehebu yetu,kama ni hapana je watakuwa watu wa kwanza kuingia motoni au kuna uwezekano wao wakawa wenye dhambi kuliko sisi?

3. Je wao na sisi ni nani yuko hatarini zaidi katika matumizi ya kemikali na utandawazi kwa ujumla?

NB: Hizi chanjo zinazotoka huko Magharibi sisi tuna uwezo wa kuzichunguza na kubaini ufanisi wake au je zaweza kuwa ndo chanzo cha kubadili homoni za kizazi chetu na kuwa mashoga? Mtanisamehe mimi siyo mwandishi mzuri
Ukiishi mjini maisha yako yote ukitoboa miaka 60 utakuwa umechoka Kiafya sawa na miaka 80 kama ungekuwa kijiji

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Wamasai wanajifanyaga wajinga na hawajui kitu ila ni watu wajanja na wenye akili mno .
Hiyo mbinu, muda mwngne inanipaga uhuru sana..katikati ya watu unajifanya boya alafu life linasonga wao wakiona hauna ishu kumbe wewe umechill tu.
 
Ndiyo mkuu, Maasai ni watu wakipekee haswaa.

Ngoja nikupatie mambo 5 yakufurahisha kuhusu Maasai.

1. Wamasai wanaamini Mungu Engai au Enkai aliumba ng'ombe kwaajili yao na wao wamasai ndiyo wamiliki halali wa ng'ombe wote duniani.

2. Wamasai ni hodari katika kutunza mazingira.

Maelfu ya miaka wamasai wameweza kuishi kwenye maeneo leo yanajulikana kama hifadhi za taifa au game reserve bila kusababisha madhara kwa manyama au mimea.

Masai wanahama hama na mifugo yao kila baada ya muda fulani na ukichunguza utagundua hii inasaidia ardhi na mimea kupata muda wakuota tena katika maeneo wanayopita.

Kwahiyo serikali kuwahamisha Ngorongoro ni janja janja tu.

3. Zamani ili uwe warrior inabidi uue simba ukiwa mwenyewe au kikundi. Hatahivyo hii hakuna siku hizi kwasababu Simba wapo hatarini kutoweka.

4. Ni ngumu sana kumshinda Maasai kuruka ukiwa umesimama wima. Unabisha? Jaribu.

5. Wanasai wakifahamu kuongea English wanaongea vizuri sana. Utapenda uwasikilize.
Namba tano umenikumbusha mmasai mmoja alikuwa receptionist nafikiri wa T- Mark Kuna Dada mmoja alikuja na kiingereza Cha kuungaunga kilichompata aibu.
 
Back
Top Bottom