Waliomfanyia hujuma Polepole wamedharaulika na kupuuzwa na watanzania. Polepole sasa ni shujaa mzalendo anayetetea maslahi ya Tanzania.

Daah! huyu jamaa na Siasa zake za kishamba sana kila nikimuona huwa nakumbuka ile Awamu ya mauaji visasi ukabila uzulumaji uporaji wa fedha za Watanzania kupotezwa kwa watu wenye mawazo tofauti kutukaniwa mashangazi na maisha ya hofu kubwa.
Acha kukariri mambo ya kusikia kisa tu una chuki na Polepole.
 
Kale kashule kake fake ka uongozi akitaka ale vizuri akageuze kawe kashule ka kuiba kura za wapinzani, atakuwa shujaa wa kweli na kau DC atapewa
 
Pole pole amekuwa shujaa! Mtu aliyewahi kupingana na kile alichokipigania (KATIBA MPYA) kwa sababu ya Tonge tu. Leo maslai yake yameguswa anarudia matapishi yake!
Hapana polepole sio shujaa ni mnafki.
 
Polepole looks like a nice guy lakini ujinga na akili ya CCM unamrudisha nyuma, nguvu ni watu sio chama wala cheo
 
Ameanza lini ushujaa na kuwatetea watanzania?.
itakuwa ulizaliwa baada ya magufuli kufariki.
Mnasahau mapema sana
 
Tatizo kile chama chetu kikubwa haina uwezo kabisa kujibu hoja ya msingi mtu yeyote anayetoa maoni yake wakiona wanaguswa wanakutafutia wahuni rejea yaliyompata Tundu Lisu,Abdul Nondo,Freeman Mbowe na wengine wengi.
Na huyo pole pole si alikuwa ndani humo?
Umeshasahau?
 
Wafahamu zamani mtu bosi wa shirika la umma akifukuzwa kazi na ikitangazwa redioni ni lazima watasema "amefukuzwa kwa manufaa ya umma".

Yaani yule mtu akiendelea kuwepo pale basi taasisi, shirika au kampuni hiyo itaanguka maana ameitumia vibaya kiofisi, matumizi mabaya ya fedha na kutojali au "carelessness".

Hivyo hili neno kwa manufaa ya umma ni neno muhimu sana kwa kizazi cha sasa kufunzwa.

Kisha kuna neno Kwa Maslahi ya Taifa au "national Interests".

Hili neno Kwa Maslahi ya Taifa bado wengi wanalipuuzia kwa makusudi yaani "ignorance" na waendekeza uhuni ambao ndo auzungumzia bwana Polepole.

Kizazi cha sasa chapaswa kujifunza kwa moyo wote maneno haya mawili Maslahi ya Taifa na Kwa manufaa ya Taifa.

Kitu chochote kinohusiana na maneno haya mawili kinawahusu wananchi wa taifa husika na si kikundi fulani.

Leo hii Iran akitishiwa au Korea Kaskazini akitishiwa a nchi za magharibi, wao husema sisi tutalipua sehemu zote tunazofahamu ninyi mna maslahi yaweza kuwa ndani au nje ya nchi hizo.

Na wakisema hivyo nchi za magharibi hukaa kimya na maisha yaendelea.

Sasa hoja zozote zinazohusu maslahi ya taifa, Nishati, madini, miundombinu, mifumo ya afya, Chakula, kilimo ni sehemu ya maslahi ya taifa.

Yaani wananchi wa Tanzania wanastahiki kufahamu mtakabali wa maslahi ya taifa lao.

Wakijitokeza watu kuzungumzia masuala hayo wasibezwe waachwe na hio ndo demokrasia.

Bwana Polepole hayupo peke yake kuna kundi kubwa sana nyuma yake ambalo bado lina dukuduku la moyoni.

Ipo siku si mbali dukuduku hilo litatolewa.
Sasa mbona wenzenu wakati walipokuwa wakiongelea maslahi ya Taifa mliwauwa na wengine kina Lisu ni Mungu tu ndio alikataa wasife ili kuwaonesha Mungu ndio mkubwa kuliko wahuni wa Chato?
 
Kila kona Tanzania watu wamewadharau na kuwaona ni wapuuzi na washamba kabisa. Kuvamia na kuvurumua gheto la mzalendo mtetezi wa taifa lenu?

Mmeshinda kutwa nzima mitandaoni wanasiasa wa upinzani na wahuni wa Ccm waliozoea kupiga madili. Mkipotosha juu ya Ky Jelly. Upuuzi mkubwa.

Leo hii kila kona ya Tanzania Polepole anaonekana ni shujaa mtetezi wa rasilimali za watanzania asiyeogopa na anayeweza kujenga hoja. Kwa ujumla watanzania wapo macho hivi leo.
Anatafutwa na Nape Nnauye
 
Kila kona Tanzania watu wamewadharau na kuwaona ni wapuuzi na washamba kabisa. Kuvamia na kuvurumua gheto la mzalendo mtetezi wa taifa lenu?

Mmeshinda kutwa nzima mitandaoni wanasiasa wa upinzani na wahuni wa Ccm waliozoea kupiga madili. Mkipotosha juu ya Ky Jelly. Upuuzi mkubwa.

Leo hii kila kona ya Tanzania Polepole anaonekana ni shujaa mtetezi wa rasilimali za watanzania asiyeogopa na anayeweza kujenga hoja. Kwa ujumla watanzania wapo macho hivi leo.
Leo hii kila kona ya Tanzania Polepole anaonekana ni shujaa mtetezi wa rasilimali za watanzania asiyeogopa na anayeweza kujenga hoja. Kwa ujumla watanzania wapo macho hivi leo

Nikikumbuka ya Musiba wakati ule mpaka akajibatiza jina la mzalendo namba moja nabaki tu kucheka
 
Kila kona Tanzania watu wamewadharau na kuwaona ni wapuuzi na washamba kabisa. Kuvamia na kuvurumua gheto la mzalendo mtetezi wa taifa lenu?

Mmeshinda kutwa nzima mitandaoni wanasiasa wa upinzani na wahuni wa Ccm waliozoea kupiga madili. Mkipotosha juu ya Ky Jelly. Upuuzi mkubwa.

Leo hii kila kona ya Tanzania Polepole anaonekana ni shujaa mtetezi wa rasilimali za watanzania asiyeogopa na anayeweza kujenga hoja. Kwa ujumla watanzania wapo macho hivi leo.
Labda kona za getoni mwako maana huku nilipo kila mtu amemdharau polepole na SUKUMA GANGS
 
Kila kona Tanzania watu wamewadharau na kuwaona ni wapuuzi na washamba kabisa. Kuvamia na kuvurumua gheto la mzalendo mtetezi wa taifa lenu?

Mmeshinda kutwa nzima mitandaoni wanasiasa wa upinzani na wahuni wa Ccm waliozoea kupiga madili. Mkipotosha juu ya Ky Jelly. Upuuzi mkubwa.

Leo hii kila kona ya Tanzania Polepole anaonekana ni shujaa mtetezi wa rasilimali za watanzania asiyeogopa na anayeweza kujenga hoja. Kwa ujumla watanzania wapo macho hivi leo.
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜
 
Kila kona Tanzania watu wamewadharau na kuwaona ni wapuuzi na washamba kabisa. Kuvamia na kuvurumua gheto la mzalendo mtetezi wa taifa lenu?

Mmeshinda kutwa nzima mitandaoni wanasiasa wa upinzani na wahuni wa Ccm waliozoea kupiga madili. Mkipotosha juu ya Ky Jelly. Upuuzi mkubwa.

Leo hii kila kona ya Tanzania Polepole anaonekana ni shujaa mtetezi wa rasilimali za watanzania asiyeogopa na anayeweza kujenga hoja. Kwa ujumla watanzania wapo macho hivi leo.
Unaijuwa vieitiiii wewe unaijuwa?? sasa sisi ndio tunatembelea vietiiiiiii
 
Back
Top Bottom