Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
- Thread starter
- #41
Acha kukariri mambo ya kusikia kisa tu una chuki na Polepole.Daah! huyu jamaa na Siasa zake za kishamba sana kila nikimuona huwa nakumbuka ile Awamu ya mauaji visasi ukabila uzulumaji uporaji wa fedha za Watanzania kupotezwa kwa watu wenye mawazo tofauti kutukaniwa mashangazi na maisha ya hofu kubwa.