Katwangilo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2021
- 705
- 693
Kwani we huwa unapenda kupigwa style gani?Kile kitanda cha kiroboto kuna style hapigi pale.
Ghetto la Polepole? Basi angalau ufanye huo uongo ufanane na kweli. Huu badoKila kona Tanzania watu wamewadharau na kuwaona ni wapuuzi na washamba kabisa. Kuvamia na kuvurumua gheto la mzalendo mtetezi wa taifa lenu?
Mmeshinda kutwa nzima mitandaoni wanasiasa wa upinzani na wahuni wa Ccm waliozoea kupiga madili. Mkipotosha juu ya Ky Jelly. Upuuzi mkubwa.
Leo hii kila kona ya Tanzania Polepole anaonekana ni shujaa mtetezi wa rasilimali za watanzania asiyeogopa na anayeweza kujenga hoja. Kwa ujumla watanzania wapo macho hivi leo.
Kona ipi mbona siwaoni huku namtumboKila kona Tanzania watu wamewadharau na kuwaona ni wapuuzi na washamba kabisa. Kuvamia na kuvurumua gheto la mzalendo mtetezi wa taifa lenu?
Mmeshinda kutwa nzima mitandaoni wanasiasa wa upinzani na wahuni wa Ccm waliozoea kupiga madili. Mkipotosha juu ya Ky Jelly. Upuuzi mkubwa.
Leo hii kila kona ya Tanzania Polepole anaonekana ni shujaa mtetezi wa rasilimali za watanzania asiyeogopa na anayeweza kujenga hoja. Kwa ujumla watanzania wapo macho hivi leo.
Kila kona Tanzania watu wamewadharau na kuwaona ni wapuuzi na washamba kabisa. Kuvamia na kuvurumua gheto la mzalendo mtetezi wa taifa lenu?
Mmeshinda kutwa nzima mitandaoni wanasiasa wa upinzani na wahuni wa Ccm waliozoea kupiga madili. Mkipotosha juu ya Ky Jelly. Upuuzi mkubwa.
Leo hii kila kona ya Tanzania Polepole anaonekana ni shujaa mtetezi wa rasilimali za watanzania asiyeogopa na anayeweza kujenga hoja. Kwa ujumla watanzania wapo macho hivi leo.
Polepole ni mnafiki, mbinafsi,mwongo na mchumia tumbo tu.Kila kona Tanzania watu wamewadharau na kuwaona ni wapuuzi na washamba kabisa. Kuvamia na kuvurumua gheto la mzalendo mtetezi wa taifa lenu?
Mmeshinda kutwa nzima mitandaoni wanasiasa wa upinzani na wahuni wa Ccm waliozoea kupiga madili. Mkipotosha juu ya Ky Jelly. Upuuzi mkubwa.
Leo hii kila kona ya Tanzania Polepole anaonekana ni shujaa mtetezi wa rasilimali za watanzania asiyeogopa na anayeweza kujenga hoja. Kwa ujumla watanzania wapo macho hivi leo.
Kamanda ya CCM waachie wenyewe. Utakuja kupigwa bombaPolepole ni mnafiki, mbinafsi,mwongo na mchumia tumbo tu.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Akiwa mwenezi alikijengea chama uhuni wa kujibu hoja kwa risasi. Sasa ni zamu yake 😂😂😂😂Tatizo kile chama chetu kikubwa haina uwezo kabisa kujibu hoja ya msingi mtu yeyote anayetoa maoni yake wakiona wanaguswa wanakutafutia wahuni rejea yaliyompata Tundu Lisu,Abdul Nondo,Freeman Mbowe na wengine wengi.
Chawa🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kila kona Tanzania watu wamewadharau na kuwaona ni wapuuzi na washamba kabisa. Kuvamia na kuvurumua gheto la mzalendo mtetezi wa taifa lenu?
Mmeshinda kutwa nzima mitandaoni wanasiasa wa upinzani na wahuni wa Ccm waliozoea kupiga madili. Mkipotosha juu ya Ky Jelly. Upuuzi mkubwa.
Leo hii kila kona ya Tanzania Polepole anaonekana ni shujaa mtetezi wa rasilimali za watanzania asiyeogopa na anayeweza kujenga hoja. Kwa ujumla watanzania wapo macho hivi leo.