Yani watu wanajua kutishana asee, nyumba yangu ya kwanza ilitumia matofali 2600 hadi juuMkuu matofali 2500 ni msingo tu? Kupandisha je?
Broo mnajengea wapi ? Mbona kama umepigwa sana , ?View attachment 1789129
Huu ni mfano wa makadirio ya Gharama za msingi kwa nyumba ya vyumba vitatu. Hapo gharama za fundi hazijawekwa, Pia eneo likiwa na slope kidogo matofali yataongezeka na kifusi/mchanga
View attachment 1789129
Huu ni mfano wa makadirio ya Gharama za msingi kwa nyumba ya vyumba vitatu. Hapo gharama za fundi hazijawekwa, Pia eneo likiwa na slope kidogo matofali yataongezeka na kifusi/mchanga
Kujenga Ni rahisi=unajenga kwa awamu (SI nafuu)Acha kudanganya watu labda kama unajenga kibanda kijijini ila ujenzi ni gharama, take it from me.
Sent from my VFD 300 using JamiiForums mobile app
Naomba kujua gharama ya Hivi vafaa jamani kwa dar nasikia ni nafuu plz.. View attachment 1794145View attachment 1794146Kujenga Ni rahisi=unajenga kwa awamu (SI nafuu)
Nyumba ya vyumba viwili,kiko,dining,store etc ina tofauti ndogo sana na ya vyumba vitatu.Nimejenga nyumba ya room tatu kimoja master,.jiko ,dining , sitting, store na public ndan gharama had sasa Ni milion 15..na Bado sijaingia ndani..ujenz achen jamani..labda Kama Ni wa vyumba viwili..
Tofali hizo kwa msingi inawezekana iwapo eneo sio tambarare. Kuna jamaa amejenga foundation tu tofali 2000, eneo lake liko kwenye muinukoHuu ni msingi wa gorofa au nyumba za kawaida? Na izo matofali 2500 ni za msingi wa nyumba ya vyumba vi ngapi? Kama ni nyumba ya vyumba 3 umepigwa mzee wangu... Mimi nina kwangu ila kila mtu huwa ananitajia bei anazojua yeye akiangalia nyumba yangu wanataja mahela mengi ila ukweli sijafika hata milioni 22
Nimepigwa? Site nipo mwenyewe kuanzia asubuhi mpaka jioni, vifaa nimenunua mwenyewe. Kiwanja kilikuwa na slope kidogo, upande mmoja wa msingi una kozi 8 above ground tofali za kulaza. Mkanda nimezungusha nondo 4 nyumba nzima. Hizo tofali hazikufika hivyo ila zilikaribia.Broo mnajengea wapi ? Mbona kama umepigwa sana , ?
Nina project ya nyumba flan ya vyumba 3 vikubwa , inakaribia kwenye lenta tofali kutoka msingi nimenunua 2900 na zinaelekea kumaliza
Gaharama na ufundi hadi sasa zipo kwenye 5.7 mil
Sijapiga jamvi though maana hili laweza fanyika hata baada ya kupaua
Broo mnajengea wapi ? Mbona kama umepigwa sana , ?
Nina project ya nyumba flan ya vyumba 3 vikubwa , inakaribia kwenye lenta tofali kutoka msingi nimenunua 2900 na zinaelekea kumaliza
Gaharama na ufundi hadi sasa zipo kwenye 5.7 mil
Sijapiga jamvi though maana hili laweza fanyika hata baada ya kupaua
Msingi wako sio wa kawaida ndio maana wengi wameshangaa.Nimepigwa? Site nipo mwenyewe kuanzia asubuhi mpaka jioni, vifaa nimenunua mwenyewe. Kiwanja kilikuwa na slope kidogo, upande mmoja wa msingi una kozi 8 above ground tofali za kulaza. Mkanda nimezungusha nondo 4 nyumba nzima. Hizo tofali hazikufika hivyo ila zilikaribia.
Unataka nikuwekee na Ramani, Mimi siyo muuza ramani. Huu ujenzi ni wa kwangu na hayo ndio makadirio niliyowekewa na mchora ramaniBila ramani, ni sawa na porojo.
Ni sawa na mimi niseme gharama za usafiri ni shilingi 50,000/-Unataka nikuwekee na Ramani, Mimi siyo muuza ramani. Huu ujenzi ni wa kwangu na hayo ndio makadirio niliyowekewa na mchora ramani
inategemea na eneoYani watu wanajua kutishana asee, nyumba yangu ya kwanza ilitumia matofali 2600 hadi juu
Vyumba 3 sebule dinning choo public na jiko
Madirisha yanahusianaje na msingu mkuu? Material makaridio ndio hayo niliyoweka hapo na ni ya hatua ya msingi pekee, Kama hukubaliani nayo haina shida nimetoa mfano tu. Pia naona bora mchora ramani aki overestimate material kuliko aka under estimate.Ni sawa na mimi niseme gharama za usafiri ni shilingi 50,000/-
1. Nauli 40,000/-
2. Chakula njiani 10,000/-
Nauli ya kwenda wapi?
Kutokea wapi?
Kutumia usafiri gani?
Ukisema hizo ni gharama za msingi wa nyumba ya vyumba vitatu. Vina ukubwa gani? Sebule ukubwa wake, jiko, vyoo, milamgo ma madirisha mangapi? etc...
Bila hivyo unakuwa kama umesema tu, halafu?
Nimejaribu kufuatilia kauli za waliojenga nyumba. Huwa wanapenda kuwaogopesha waliopanga kuwa ujenzi ni gharama.
Huwezi kutana na mtu akakutia moyo hata kidogo. Lengo la wengi waliojenga ni ku play god. Yani wanapenda waheshimike na kujionesha kuwa wana mawe marefu.
Mimi ninapopiga gharama za ujenzi, napata gharama za chini kama ambavyo Magufuli alifanya kwenye ujenzi wa hostel za UD. Tukienda kwa stail yake, mbona kila mtu atakuwa na ka mjengo!
Dead load ya jengo. Msingi si lazima ujue jengo lina uzito kiasi gani?Madirisha yanahusianaje na msingu mkuu?
Mwambie akajenge Kariakoo au posta ndo ataelewa... Anataka kufananisha gharama ya nyumba hiyo hiyo kuanzia kiwanja, iliyoko posta DSM na iliyopo MalinyiKumbuka gharama za ujenzi ni sawa na unapoenda kununua nguo dukani, nguo ni bidhaa ambayo bei yake haijasimama kama bidhaa ya sukari au mchele.
Ndio gharama za ujenzi zilivyo mfano
Utofauti wa upatikanaji wa matirio hutofautiana bei eneo na eneo wengine matirio ya ujenzi wanapata kwa dili wengine kwa bei kubwa nk
Gharama za ujenzi kuna mafundi wana bei kubwa wengine bei ndogo
Ndio maana humu tunaona nyumba unambiwa inauzwa milioni 50 wakati ukiangalia ina thamani ya milioni 20 tu
Kwaiyo mtu anapolalamika ujenzi garama usimshangae pengine kweli ujui amejengaje pia wewe unayeona ujenzi si garama pengine kweli hatujui umejengaje
Mfano bei ya kiwanja maeneo mengine tz sawa na shagarama ya nyumba ya kisasa iliyokamilika hapa hapa tanzania
Mfano juzi juzi hapa nimeshuhudia mtu anauziwa kiwanja milioni nne tena anafurahi anaona bei rahisi kweli eneo ambalo wenyeji wanauziana kwa milioni mpaka laki tisa Kiwanja unaona hii kitu
Sababu aliyenunua kiwanja kwa milioni nne ni mgeni katoka eneo ambalo aridhi ina thamani watu wanauziana mpaka milioni 30 eneo la miguu 25 kwa ishirini
Ni gharama hasaaaa lakini ukimwambia mtu ukweli anadhani unamdanganya au unajisifia.Acha kudanganya watu labda kama unajenga kibanda kijijini ila ujenzi ni gharama, take it from me.
Sent from my VFD 300 using JamiiForums mobile app