Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Jamani mimi nilipeleka application siku tatu kabla ya
deadline lakini application yangu ilikuwa ya 982 kwa post moja
Kweli hapa kuna uwezekano hata jina langu kufikiwa?
\vipi kuna mwenye taarifa kama wamefanya short list
deadline lakini application yangu ilikuwa ya 982 kwa post moja
Kweli hapa kuna uwezekano hata jina langu kufikiwa?
\vipi kuna mwenye taarifa kama wamefanya short list