Godfather ni mtu atakayekubeba kukusaidia kupata ajira au mtaji wa kuanzisha maisha, sio rahisi hapa nchini Tz kufanikiwa bila kuwa na 'godfather', anaweza akawa baba yako, mama yako, rafiki au mjomba,
Ila pia tupo wachache tunaojiita "born lucky" tulioweza kupambana (hussle) na kutoboa ili kusimama kimaisha, bila kubebwa na 'godfather'
Kuna siku nilitembea Mkoa wa Dodoma kusalimia rafiki, ilikuwa siku ya Jumapili kama leo, nilikuwa kwenye matembezi ya asubuhi kujionea jiji jipya la Dodoma, nikakuta foleni ya vijana, katika godown ya wachina kule wanakojenga ringroad, ilikuwa ndefu mpaka nje nikauliza kulikoni hapa kijana moja kaniambia waChina wanatoa ajira, mmh!!!!!! nikaguna kwanza hapo ndo nimemaliza chuo ila bado graduation.
Nikaamua kupanga foleni bila hata maombi or application nikajisemea ntajieleza huko huko, kumbe kule wanaandikisha vibarua (cheap labourers) wa kulipwa sh7000 kwa kutwa, nilivyofika kwenye panel ya usahili, nikaanza kujieleza kwamba nilifanya application ila nimekuja kwanza kujua kama na sisi wasomi (graduates) tunahitajika, wakaniuliza ulisoma nini nikajieleza wakaniambia wewe kaa pembeni kwanza, baada wote kumalizika wakanihoji upya tena wakaakajiridhisha kwamba mimi ni graduate japo sina vyeti, to make the long story short nikapewa kazi ya assitant field supervisor, boss wangu alikuwa mchina mimi nikafuatia.
Mshahara na pesa niliokusanya ndo ulikuwa mtaji wangu mpaka leo japo kazi ilidumu kwa miaka miwili tu. Lakini mpaka leo rafiki yangu haamini kwamba sikuwa na appointment ya kazi kwamba sikuenda kwa ajiri yake, nilienda kwa ajiri ya kazi tu.
Ila pia tupo wachache tunaojiita "born lucky" tulioweza kupambana (hussle) na kutoboa ili kusimama kimaisha, bila kubebwa na 'godfather'
Kuna siku nilitembea Mkoa wa Dodoma kusalimia rafiki, ilikuwa siku ya Jumapili kama leo, nilikuwa kwenye matembezi ya asubuhi kujionea jiji jipya la Dodoma, nikakuta foleni ya vijana, katika godown ya wachina kule wanakojenga ringroad, ilikuwa ndefu mpaka nje nikauliza kulikoni hapa kijana moja kaniambia waChina wanatoa ajira, mmh!!!!!! nikaguna kwanza hapo ndo nimemaliza chuo ila bado graduation.
Nikaamua kupanga foleni bila hata maombi or application nikajisemea ntajieleza huko huko, kumbe kule wanaandikisha vibarua (cheap labourers) wa kulipwa sh7000 kwa kutwa, nilivyofika kwenye panel ya usahili, nikaanza kujieleza kwamba nilifanya application ila nimekuja kwanza kujua kama na sisi wasomi (graduates) tunahitajika, wakaniuliza ulisoma nini nikajieleza wakaniambia wewe kaa pembeni kwanza, baada wote kumalizika wakanihoji upya tena wakaakajiridhisha kwamba mimi ni graduate japo sina vyeti, to make the long story short nikapewa kazi ya assitant field supervisor, boss wangu alikuwa mchina mimi nikafuatia.
Mshahara na pesa niliokusanya ndo ulikuwa mtaji wangu mpaka leo japo kazi ilidumu kwa miaka miwili tu. Lakini mpaka leo rafiki yangu haamini kwamba sikuwa na appointment ya kazi kwamba sikuenda kwa ajiri yake, nilienda kwa ajiri ya kazi tu.