Duuh jamaa alikuwa ananipa raha sana wakat wa ue anavoita coz za kuingia domKashatumbuliwa huyoo na Anko magu kitambo sana
nimemaliza course hiyo iko mazimbu na ni koz nzur pia humuandaa mwanafunzi kujiajiri na sio kuwa tegemezi wa ajiraYeyote mwenye ufahamu na "Rural developments"
kashatumbuliwa mbonaMsimsahau francis tunamuita dvc wa ue freedom square
huyo Fransis ndo yule alokua anapenda kushika mike na kutangaza coz flan iingie freedom square,, yule white flan hivi??....Kashatumbuliwa huyoo na Anko magu kitambo sana
Hatujui kesho au mwakan au miaka minne ijayo mambo yatakuaje ila kwa hali ilivyo sasa hivi na kama ukiweza basi nenda kaamie agric engineering au irrigation engineering!!Raia bioprocessing and posthavest engerneering imekaaje? Unafanya kazi gani? Na upatikanaji wake wa ajira upoje?
Monday 30th.octHv sua kuripot lin??
We kata baro ,danganya umemaliza miaka ya 90 wakati baanda anakusubiri kwenye engineering ethics SEM 7 pamoja na Avitus kwenye ergonomics SEM 8.Watakapo kupiga vinu vya nyuklia ndo utajua umemaliza 90 au utamaliza 2018 mungu akipenda.Hao 9 watakosaje Ajira ,
Mtie Moyo mwenzako , sisi tuliomaliza miaka ya 1990 , hiyo program ilikuwa inalipa sana
We komaa apo ENG 6 acha mbwembwe...kitaa tunapajua sisi.Haijawahi kuacha kulipa ukimaliza kusoma nitafute nikuajiri kama utashindwa kujiajiri
1,263,000Ada yake ni ngapi kwa mwaka?