Waliochaguliwa SUA 2017/18 tukutane hapa

Waliochaguliwa SUA 2017/18 tukutane hapa

Mdogo wangu hakuna ushauri kama kuwa na "NIDHAMU YA SHULE" nakusisitiza tena na tena usifanye chochote ila kuwa na "NIDHAMU YA SHULE" mdogo narejea tena fanya chochote utakacho wewe katika maisha yako ya shule ila tu usijeacha na kusahau "NIDHAMU YA SHULE"


Nawaombe taufiq kwa MUNGU MWENYEZI akutilieni baraka katika masomo yenu
Asante mkuu!!!!!

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 
Tunaiita Aea Agriculture Economics and Agribusiness, iko poa tu,
mimi niko kwenye hii course now naingia mwaka wa mwisho (3)

Kalibu Mazimbu..
Kati ya "Rural developments" na "Agro business" ipo kali interms of marketing baada ya kumaliza chuo?!!
 
SUA SECOND YEARS


Link hyoo kuingia ken group LA wasap ambapo unaweza kuakaribu zaid na wahusika wa coz furan.
 
nmechaguliwa...Bsc of education wth science(biology/agricultural science)
nahitaji ufafanuzi wa agricultural science..
Hata mdogo wangu kachaguliwa huko. Hivi kama huna multiple admission si hakuna sababu ya kuconfirm?
 
Back
Top Bottom