Waliochaguliwa SUA 2017/18 tukutane hapa

Waliochaguliwa SUA 2017/18 tukutane hapa

Kuna kijana wangu alichaguliwa Bugando mwaka Jana .mkopo alipata asilimia 30 tu .alijitahidi kuendelea na masomo lakini baada ya miezi sita nilishindwa kumudu kulipa asilimia 70 ambayo ni milioni tatu hivyo aliacha kwa ajili ya kujipanga upya .Mwaka huu ameomba tena mkopo ila chuo amechaguliwa hapo SUA.Je anaweza kupewa mkopo tena kwa asilimia ileile au zaidi? Napenda kuwasilisha
kiukweli mkopo asimia kubwa wanaangalia shule mtu aliyosoma o-level,kama mtu alisoma shule ya private o level wengi wao wanapewa 0% yani unapewa vyote kasoro ada...ila kama alisoma serikalini inategemea na bahati yake...ila kama alisha pewaga mkopo alafu akaacha chuo huwa kuna percentage flan ya hela aliyopewa before huwa wanataka ilipwe ili uwe considered kama waombaji wengine wa mkopo...Kwa sua suala la ada ni la kuliangalia vizuri before maana usipofanya semister registration, usipo wahi ku postpone semister tayari unakuwa discontinued,Na ili uweze kufanya semister registration inabidi uwe umemaliza ada ya hiyo semister.
 
Kapige ni kozi Mama ya Engineering pale,iko vizuri tuu inakupa uwanja mpana.Ni moja ya wahitimu wa hii kozi undergraduate.Kakomae tuuu siku hizi kuna Mzee Amestaafu ndiyo alikuwa anatishia usalama wa ku exist pale Ni Dr.Mulengera(Huyu alikuwa rigid) ukipita kwake ni miujiza tuu.Kila la kheri any quiry uliza hapa
Huyu alikua Prof sio Dr
 
Kuna kijana wangu alichaguliwa Bugando mwaka Jana .mkopo alipata asilimia 30 tu .alijitahidi kuendelea na masomo lakini baada ya miezi sita nilishindwa kumudu kulipa asilimia 70 ambayo ni milioni tatu hivyo aliacha kwa ajili ya kujipanga upya .Mwaka huu ameomba tena mkopo ila chuo amechaguliwa hapo SUA.Je anaweza kupewa mkopo tena kwa asilimia ileile au zaidi? Napenda kuwasilisha
Bugando alichaguliwa course gan? na Sua amechaguliwa course gn?
Ada yake ni ngapi kwa mwaka?
 
Habar wanasuaso, Serikali ya wanafunzi kutoka chuo kikuu cha SOKOINE CHA KILIMO inapenda kuwakaribisha wanafunzi wote wa mwaka wa kwanza. Pia Serikali ya wanafunzi kwa kushirikiana na utawala Tayari imeweka utaratibu wa utoaji wa huduma ya malazi kwa Wanafunzi wote watakaofika chuoni kabla ya kukamilisha usajiri. Hii itasaidia wanafunzi wageni kutoingia gharama ya kulala gesti siku za awali. Taarifa hii naomba tujitahidi aliisambaza kwa wengine ili wapate huduma stahiki. IMETOLEWA NA WAZIRI MKUU SUASO (0768975583) Karibuni sana
 
Sua amechaguliwa uganga wa mifugo
kama alipata mkopo na akautumia ilitakiwa arudishe 25% ya huo mkopo kabla ya kuomba upya ambapo angepewa stakabadhi ya malipo, kisha akaambatanisha kwenye maombi mapya ya mkopo, lakini kama hakutumia huo mkopo basi asubiri anaweza pata tena.
 
Habar wanasuaso, Serikali ya wanafunzi kutoka chuo kikuu cha SOKOINE CHA KILIMO inapenda kuwakaribisha wanafunzi wote wa mwaka wa kwanza. Pia Serikali ya wanafunzi kwa kushirikiana na utawala Tayari imeweka utaratibu wa utoaji wa huduma ya malazi kwa Wanafunzi wote watakaofika chuoni kabla ya kukamilisha usajiri. Hii itasaidia wanafunzi wageni kutoingia gharama ya kulala gesti siku za awali. Taarifa hii naomba tujitahidi aliisambaza kwa wengine ili wapate huduma stahiki. IMETOLEWA NA WAZIRI MKUU SUASO (0768975583) Karibuni sana
2nashukuru sana ila sasa 2lio confirm ha2ja jibiwa had sasa kama confirmation zime fika au la..?

Cjui inakuaaje apo
Roho juujuu dingii
 
Kuna kijana wangu alichaguliwa Bugando mwaka Jana .mkopo alipata asilimia 30 tu .alijitahidi kuendelea na masomo lakini baada ya miezi sita nilishindwa kumudu kulipa asilimia 70 ambayo ni milioni tatu hivyo aliacha kwa ajili ya kujipanga upya .Mwaka huu ameomba tena mkopo ila chuo amechaguliwa hapo SUA.Je anaweza kupewa mkopo tena kwa asilimia ileile au zaidi? Napenda kuwasilisha
Kuna kitu lazima mkumbuke kwamba alishaomba mkopo before na akapata alafu akaacha masomo! Sasa hapa lazima mjiandae kisaikolojia maana kama ingekua enzi za mkwere angeweza pata ila kwa enzi hii duuuh!!


kiukweli mkopo asimia kubwa wanaangalia shule mtu aliyosoma o-level,kama mtu alisoma shule ya private o level wengi wao wanapewa 0% yani unapewa vyote kasoro ada...ila kama alisoma serikalini inategemea na bahati yake...ila kama alisha pewaga mkopo alafu akaacha chuo huwa kuna percentage flan ya hela aliyopewa before huwa wanataka ilipwe ili uwe considered kama waombaji wengine wa mkopo...Kwa sua suala la ada ni la kuliangalia vizuri before maana usipofanya semister registration, usipo wahi ku postpone semister tayari unakuwa discontinued,Na ili uweze kufanya semister registration inabidi uwe umemaliza ada ya hiyo semister.
 
*TAARIFA KUTOKA* _*TCU*_
Tarehe 12, October. 2017
Kwa wanafunzi wote walioomba vyuo kwa ajili ya mwaka wa masomo 2017/18 na wakapata bahati ya kuchaguliwa kwenye chuo zaidi ya kimoja,Leo saa 6:00 usiku ndiyo mwisho wa kuthibitisha chuo anachopendelea kwenda kusoma.
Kama hajathibitisha na hatothibitisha mpaka inafika saa 6:00 usiku wa Leo tarehe 12/10/2017 hatotambuliwa na *_TCU_* kama mwanafunzi wa chuo chochote kile.

Source *_Tcu Tanzania_*

Share na wenzako wapate taarifa
 
2nashukuru sana ila sasa 2lio confirm ha2ja jibiwa had sasa kama confirmation zime fika au la..?

Cjui inakuaaje apo
Roho juujuu dingii
usiwe na waswas km ushafanya wanachotaka we subir second selection watatoa namajina ya walioconfrm
 
Wakuu mliopo SUA hapo kuna watu tuna ugonjwa na mpira..hv kuna sehem za kuchek mpira karibu hapo main campus
 
Hapa ni kwa ajili ya kufahamiana zaidi maana tunakua familia moja na kupeana utaratibu, pia hata kukifahamu chuo kwa undani zaidi, bila kusahau kuwekana sawa katika utata wa program husika.

Karibuni.
Hahahahahaaaaaaa Juuuuuuuurrrruuuuuuuuu ad uku upon hahahaaaa am madame Msolid APA say hi to all memic group letu like LA yr 1 hahahahaaaa MPE hi clever na Lupe
 
Kapige ni kozi Mama ya Engineering pale,iko vizuri tuu inakupa uwanja mpana.Ni moja ya wahitimu wa hii kozi undergraduate.Kakomae tuuu siku hizi kuna Mzee Amestaafu ndiyo alikuwa anatishia usalama wa ku exist pale Ni Dr.Mulengera(Huyu alikuwa rigid) ukipita kwake ni miujiza tuu.Kila la kheri any quiry uliza hapa
Duuh..Mule amestaafu kweli? Hakuna usiku usioisha kweli..yule mzee alitesa watu wengi sana!
 
Jamani kuna updates zozote huko kwenye acxount za SUA kwa waliovlchaguliwa?
Mimi nikiangalia inaniambia user name is blocked


d1d414be56960e0fdfcbc27ef7fd7871.jpg


7c5f17e49b2fff873211b17ce707604a.jpg
 
Back
Top Bottom