Waliochaguliwa SUA 2017/18 tukutane hapa

Kapige ni kozi Mama ya Engineering pale,iko vizuri tuu inakupa uwanja mpana.Ni moja ya wahitimu wa hii kozi undergraduate.Kakomae tuuu siku hizi kuna Mzee Amestaafu ndiyo alikuwa anatishia usalama wa ku exist pale Ni Dr.Mulengera(Huyu alikuwa rigid) ukipita kwake ni miujiza tuu.Kila la kheri any quiry uliza hapa


shukrani mkuu kwa info,vip kuna changamoto gani kwenye usomaji wa hii kozi hapo SUA
 
shukrani mkuu kwa info,vip kuna changamoto gani kwenye usomaji wa hii kozi hapo SUA
Kusoma chuo ni kufuata maelekezo ya mseminishaji/mwalimu tuu.Ukileta za kujifanya Deep,kupinga mwalimu anachoeleza inakula kwako mapeeeema Semester ya kwanza tuu.Wewe ukifika weka zingatio katika masomo na misele midogo midogo usiache.Nakumbuka mimi tulikuwa na masela wangu piga sana discussion na misele kama kawa LAKINI MPAKA TUNAMALIZA HATUKUWAHI KUFANYA PROBATION/KURUDIA MTIHANI.na hata mlango wa Library tuliingia siku ya kufanya clearence tulipokuwa tunamaliza.All the best upcoming Engineer
 
Kapige ni kozi Mama ya Engineering pale,iko vizuri tuu inakupa uwanja mpana.Ni moja ya wahitimu wa hii kozi undergraduate.Kakomae tuuu siku hizi kuna Mzee Amestaafu ndiyo alikuwa anatishia usalama wa ku exist pale Ni Dr.Mulengera(Huyu alikuwa rigid) ukipita kwake ni miujiza tuu.Kila la kheri any quiry uliza hapa
Mlengera was smart. Nilitaman kabla haja staafu Anisimie SP yangu bahati mbaya akastaafu!!

Ni mwalim ambaye kila prof alikua anamkubali... Tarimo mzee wa mjungu ila yule jamaa alikua anamvulia kofia!!

Kozi yake ya maji machafu nilipata A swafi kabisa!!

Alikua anatembea na baiskeli... Ukimuona unaweza zan ni mfanyakazi wa bustan kumbe ni prof wa kiwango cha lami daaaah!!

Sizan kama pale dept ya engineering atakaa atokee mwalimu kama yeye!!
 
shukrani mkuu kwa info,vip kuna changamoto gani kwenye usomaji wa hii kozi hapo SUA
Agric engineering inafanana sana na mechanical engineering. Pale department ziko kozi tatu za uhandisi ila agric engineering ina kaugum kake haswa mwaka wa pili na wa tatu!!

Mwaka wa tatu palikua na prof anaitwa Tumbo sema siku hizi sizan kama yupo ila huyu alikua anabeba kijiji anakipeleka mazimbu... Bila kumsahau Dr Baanda na kozi yake ya umeme!!

Ukiwa makin hamna kinachoshindikana...
 
Agric engineering inafanana sana na mechanical engineering. Pale department ziko kozi tatu za uhandisi ila agric engineering ina kaugum kake haswa mwaka wa pili na wa tatu!!

Mwaka wa tatu palikua na prof anaitwa Tumbo sema siku hizi sizan kama yupo ila huyu alikua anabeba kijiji anakipeleka mazimbu... Bila kumsahau Dr Baanda na kozi yake ya umeme!!

Ukiwa makin hamna kinachoshindikana...

Shukrani Mkuu kwa info,ngoja nasie tukapambane
 
Samahanini wanazuoni, TCU wamesema kua second round application imeanza tar 4 na kuisha Tar 10, sasa bahati mbaya sielewi na apply vipi Kwa Mara ya pili maana sioni hata sehemu ya kuapply
 
Kusoma chuo ni kufuata maelekezo ya mseminishaji/mwalimu tuu.Ukileta za kujifanya Deep,kupinga mwalimu anachoeleza inakula kwako mapeeeema Semester ya kwanza tuu.Wewe ukifika weka zingatio katika masomo na misele midogo midogo usiache.Nakumbuka mimi tulikuwa na masela wangu piga sana discussion na misele kama kawa LAKINI MPAKA TUNAMALIZA HATUKUWAHI KUFANYA PROBATION/KURUDIA MTIHANI.na hata mlango wa Library tuliingia siku ya kufanya clearence tulipokuwa tunamaliza.All the best upcoming Engineer
Sawa Mkuu nitazingatia ushauri wako,respect kwako
 
Back
Top Bottom