Meja mstaafu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 520
- 1,110
Thanks, but sina ufahamu sana na hii kozi naomba kuijua zaidi endapo unaifahamu inahusu mambo gani. Kwa sababu Mimi nilijaziwa tu na bro kipindi nipo jkt.Karibu ndugu hiyoo ipo main campus, n nzur sana pia