Isack magabe
Member
- Sep 6, 2017
- 14
- 0
Unaanfika "I confirm that i will join SUA. My form four index no. Is ........."Wakuu naombeni email au namba ya kuconfirm SUA
Unaanfika "I confirm that i will join SUA. My form four index no. Is ........."Wakuu naombeni email au namba ya kuconfirm SUA
Unaandika "I confirm that i will join SUA. My form four index no. Is ........."
Bimafsi pia nime confirm mara mbili hawajawahi kunijibu. Ila as long as mtu ukishatumiwa admission letter haina shida naona.Mimi nimeconfirm SUA mbona hawajanijib email yngu ? Au wanakua hawajib ? Kwa wali confirm nisaidien mmejibiwa ?
Admission letter unatumiwa kwa njia gani au mpka uende chuo ?Bimafsi pia nime confirm mara mbili hawajawahi kunijibu. Ila as long as mtu ukishatumiwa admission letter haina shida naona.
Wanatuma kwenye ac yako ya SuasisAdmission letter unatumiwa kwa njia gani au mpka uende chuo ?
Jaribu kuwasiliana nao.Duh mimi bado ,hawajanitumia na nimechaguliwa multiple selection na nime confirm kwao
Naomba kama unafaham gharama ya kujisajili hapo SUA.tofauti na AdaBimafsi pia nime confirm mara mbili hawajawahi kunijibu. Ila as long as mtu ukishatumiwa admission letter haina shida naona.
Other fees- 214000Naomba kama unafaham gharama ya kujisajili hapo SUA.tofauti na Ada
naomba hiyo email mkuu niconfirm namimiUnaanfika "I confirm that i will join SUA. My form four index no. Is ........."
Malipo ya Hostel nayo shilingi ngapi?samahani mkuuOther fees- 214000
Medical fees-100000
Total 314000