Wangeambiwa kuna kikao cha dharura na sitting allowance ipo,cruiser zote mkoani zingekua eneo la ajali.kupeleka tuu mitungi ya gesi kukata mabati wakashindwa?????
ingekuwa ni kipindi cha kampeni wangepata masaada wa hali mali!!go to hell ccm!!!!
jana niliona hii habari ITV nilitamani kulia......ila huyu Mungu yupo
Masisiem nitayachukia daima dumu natamani hata siku moja nilione moja limebanwa kama vijana wale na manguo yao ya kijani kwa masaa kumi bila kuokolewa ndo watajua kwa nn tunapigania haki hii kwa watanzania....
Maajabu kweli huku wengine wakiandaliwa ubwabwa ikulu kwa kuokoa....majanga mkwe..re huyu!!!!
Wamenikera waandishi kuhoji mtu aliye katika hali ile...badala ya kuhakikisha mtu anapata huduma ya damu au drip na hewa ya kutosha wewe unampelekea mic??
hizo ambulance leo wikiend zimepaki kwenye mabaa au hazina mafuta..hakika huko tuendako nchi itakuwa na sheria vipande vipande kama somalia
Sisi waTanzania ni watu wazima na tumeona. Tunaomba waharakishe zoezi la ku-update daftari la wapiga kura ili 2015 tutoe hukumu ya haki kwa hawa waliotuchoka. Yaani masaa yote hayo hata winchi ingetoka dar ingewahi
Sawa bwana si mmeamua kupunguza kura za kuwa kataa 2015 kwa staili hiyo sawa tu.
Kamati za ulinzi na usalama my a!...f...k! F...em all! Nchi gani hii? Serikali gani hii isiyo jali wananchi wake? Wangekuwa ni wawekezaji ungekuta mpaka magari ya deraya yamepelekwa ndani ya dk 10....Kambi ya jeshi ya kinonko ipo km chache kutoka maseyu! Why?....
Jamani jamani jamani ndugu zangu watanzania, ccm ifanye uovu gani mtambue kuwa hiki siyo chama cha siasa bali ni kundi la majambazi wenye lengo la kuiangamiza nchi hii??????? Hivi angekuwa Mkuu wa Mkoa au Wilaya au kiongozi yeyote wasingemwokoa? Kweli ndugu zetu wanakufa huku wanajiona na taarifa imewafikia watanzania wote!!!! Nasema hii ni laana kwa taifa na ndiyo maana ndani ya uongozi wa kikwete nchi imekumbwa na mikosi kila kukicha kwa sababu ya laana zinazotokana na masikitiko ya wananchi. Eeee Mwenyezi Mungu tuvushe salama na kiongozi huyu asiyewajali wananchi anaowaongoza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.