Borat69
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,522
- 1,761
Mkuu Copper heshima mbele,ufisadi nyuma. Tumeshalalamika na kusikitika kwa maafa na ajali ngapi mkuu!?? Je malalamiko yetu na masikitiko yamesaidiaje kutatua na kupata ufumbuzi wa huu UZEMBE unaosababisha kupoteza maisha Watanzania wenzetu!!?? Maana Leo kwao hao wenzetu,kesho yaweza kuwa kwetu kukumbwa na hayo maafa.Mkuu, hatua tutachukua ila kwa hili la ajali hii tuna kila sababu ya kusikitika na kulalamika.
Tafakari MTANZANIA mwenzangu na CHUKUA HATUA.