Hii imenisikitisha sana tena sana,ktk jambo lililoniuma ni hili,maana wale jama niliwaona jana wakiongea tena na nguvu zao na wala hawakuwa wadhoofu na nilitegemea kuwa wale si watu wa kufa,kwani kama waandishi wa habari waliwahi kufika eneo husika iweje vifaa vya uokozi vichelewe hadi watu wale kupoteza uhai.
Hapana,hii haikubaliki