MarketerKwahiyo unataka tukinunue tusome hizo kurasa? Mbona kama unataka kufanya biashara mkuu
ama anukuu tu ama nalo ni kosaScreenshot lete hapa tujadili
Kumuita kiongozi wa Mapinduzi matukufu Dikteta sio sawa kabisa. Nimekereka na hiki kitabu. Na mbaya kimeandaliwa eti na waandishi wazawa wakijinasibu kwamba hii ni historia halisi ndio washindwe kuwastahi waasisi. Hivi tukimtaka Saida atoe ushahidi wa Udikteta wa Karume atatoa!?
Wamstahi vipi kama ndio ukweli??Na kwanini wamstahi???Kumuita kiongozi wa Mapinduzi matukufu Dikteta sio sawa kabisa. Nimekereka na hiki kitabu. Na mbaya kimeandaliwa eti na waandishi wazawa wakijinasibu kwamba hii ni historia halisi ndio washindwe kuwastahi waasisi. Hivi tukimtaka Saida atoe ushahidi wa Udikteta wa Karume atatoa!?
Kuna ubaya gani kumuita mlevi , mlevi???Wametumia lugha kali sana yaani kufikia kumuita kiongozi mtangulizi dikteta? duh!