Walioandika Kitabu cha Biography ya Hayati Baba wa Taifa wamekosoa sana. Sidhani kama hiki kitabu kilihaririwa

N'yadikwa

JF-Expert Member
Aug 10, 2014
6,827
9,535
Mathalani ukisoma Ukurasa wa 70 na 71 wa Volume 1 kilichoandikwa na Saida kuna statements ngumu ambazo nawasihi mkasome wenyewe na nisingependa kuziweka hapa kwa sababu ya masuala ya Haki Miliki nk.

Kwa kweli nimekatishwa tamaa kwa sababu kitabu hakitasaidia kupasisha historia nzuri ya waasisi wa Taifa letu Baba wa Taifa na Mzee Karume. Waandishi hamkuwatendea haki hawa wazee.

Sio kila kitu ni cha kuandika. Kasome mwenyewe ukurasa wa 70 na 71 Vol. 1 kwa umakini.
 
Wamstahi vipi kama ndio ukweli??Na kwanini wamstahi???

Unless wanadanganya sioni sababu ya kuita limao chungwa.
 
Wamstahi vipi kama ndio ukweli??Na kwanini wamstahi???

Unless wanadanganya sioni sababu ya kuita limao chungwa.
Wametumia lugha kali sana yaani kufikia kumuita kiongozi mtangulizi dikteta? duh!
 
Wametumia lugha kali sana yaani kufikia kumuita kiongozi mtangulizi dikteta? duh!
Kuna ubaya gani kumuita mlevi , mlevi???

Shida inakuja pale tu kilichoandikwa kinapokuwa sio sahihi.

Binafsi niliwahi kuandika one of my IA on him hivyo nimemsoma soma na sioni ubaya iwapo wanaomjua zaidi wakitupa their side of the story. Hata kama hatutofurahia ila kama ni ukweli hatuna budi kuukubali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…