N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,528
- Thread starter
- #21
Natamani niisome hii pia iko published anywhere kwamba niipate.Kuna ubaya gani kumuita mlevi , mlevi???
Shida inakuja pale tu kilichoandikwa kinapokuwa sio sahihi.
Binafsi niliwahi kuandika one of my IA on him hivyo nimemsoma soma na sioni ubaya iwapo wanaomjua zaidi wakitupa their side of the story. Hata kama hatutofurahia ila kama ni ukweli hatuna budi kuukubali.
View attachment 1579798