Yes
Sema Kuna mda nilikuwa namfoc tufanye kuadopt akawa anasita,anajua mie napenda watoto sema tatizo majukumu ya kutafuta hela yananibana,akaona anipe mzigo niulee kuliko kuadopt,nami sikuona kama ni Jambo baya watoto ni barka.Hata Sasa napiga sana mishe za hela na tumbo langu,yote kheri.