Walimu wa Meru DC watakiwa kujitokeza Jumapili saa 1:00 asubuhi Usa-river wakati Rais Samia atakapokuwa anapita eneo hilo

Nov 18, 2022
41
111
Hii kada ni ya wanyonge na wananyongwa kweli. Mke wangu ametumiwa meseji na mratibu wao kuwa yeye (mwalimu mkuu) pamoja na walimu wake wafike bila kukosa eneo la usa-river jumapili saa 1:00 asubuhi bila kukosa ili Rais atakapokuwa anapita basi awapungie mkono.

Cha kushangaza hakuna nauli wala posho, tena mratibu wao kawaambia kutakuwa fomu ya mahudhurio sasa ole wake mwalimu asifike aone cha mtema kuni.

Cc: mpwayungu village kwa taarifa
 
Cc mpwayungu village...
FB_IMG_1677917211266.jpg
 
Hii kada ni ya wanyonge na wananyongwa kweli. Mke wangu ametumiwa meseji na mratibu wao kuwa yeye (mwalimu mkuu) pamoja na walimu wake wafike bila kukosa eneo la usa-river jumapili saa 1:00 asubuhi bila kukosa ili Rais atakapokuwa anapita basi awapungie mkono.

Cha kushangaza hakuna nauli wala posho, tena mratibu wao kawaambia kutakuwa fomu ya mahudhurio sasa ole wake mwalimu asifike aone cha mtema kuni.

Cc: mpwayungu village kwa taarifa
pole zao
hayo ni maagizo ya boss/mwajiri wao
wataelewana wewe usiingilie
 
Back
Top Bottom