Walimu wa Field msiwalazimishe mapenzi wanafunzi

Walimu wa Field msiwalazimishe mapenzi wanafunzi

Jerry santonga

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2014
Posts
647
Reaction score
565
Habari ya asubuhi wataalam mbalimbali,chap kwa haraka ngoja niende straight kwenye mada. Nikiwa zangu kwenye daladala nimepanda zangu nikakaa kwenye siti ya nyuma na wadada wawili wanaonekana form 4 leaves wa Tamisemi wamechaguliwa straight kuanza certificate.

Nikavutiwa na confidence yao wanaongea kwa sauti ya juu oh mara kantongozaga yule (wakiwa wanagonga mikono wakicheka)
Kitu kimoja kilichonishanga ni suala waliloongelea la walimu wa field kuwang'ang'ania kimapenzi na wakiwakataa wanawasumbua kwa kuwachapa

Dua la kuku halimpati mwewe ila walifikia kusema walimu wa field wakienda kufundisha wawe wanahasiwa hahahaha daah OMBI LANGU KWA WALIMU WA FIELD HEBU FANYENI KILICHOWAPELEKA HUKO MASHULE NB.Sio walimu wote wenye Tabia hizo ila kwa wale wenye tabia hizo jitahidi kuzishinda hisia..maana itawagharimu kwa uzwazwa wenu

Signing out
 
Ma kina kenzy kumbe yapo mpk shuleni yamefata nini sasa huko..😂
Mkuu nawe acha umbea hiyo ni kazi Sasa awatongoze nani..? Ungewaambia tu hizo ni changamoto maishani.. wanafunzi wakike wanaweza mkamatisha ticha tena kirahisi tu sema nao akili zao sijui walipalilia wapi..😂
 
Kila mtu ale kwenye eneo lake la kazi, watoto wa secondary wachokozi Sana, ukiwa mpole wanakuanza wao.
Wengine mpaka wanakusalimia kichokozi "teacher mambo"..unaishia kutabasamu tu.

Nakumbuka nilikuwa field kule moro miaka kadhaa nyuma, unakuta binti anakufuata privately na vimaswali umsaidie, nilijitahidi Sana kukwepa mitego, na ukizingatia watoto wa form four wanajua kuoga na ni wasafi, sketi kapigilia na guu la Champaign , nilipomaliza tu field nikawa najilipa nitakavyo.

Ila ukweli Ni kwamba wanafunzi hawafai maana Ni kujiweka hatarini, kwa hiyo maticha kuweni makini, unaweza kujikuta unaambulia mvua 30 za chap!
 
Mtoto wa kiume kufuatilia stories za wadada ni dalili ya kiamstedamu.....fanya kazi kijana hiyo midada mikubwa inajielewa labda jamaa hakufungua mfuko
Masikio yanasikiliza na yanachuja sasa walimu wa field wanashindwa kutongoza huko chuoni ???uje kuvitatua Vitoto hebu wakapambane na wenzao wa mjini DuCe au pale CoNas
 
Kila mtu ale kwenye eneo lake la kazi, watoto wa secondary wachokozi Sana, ukiwa mpole wanakuanza wao.
Wengine mpaka wanakusalimia kichokozi "teacher mambo"..unaishia kutabasamu tu.

Nakumbuka nilikuwa field kule moro miaka kadhaa nyuma, unakuta binti anakufuata privately na vimaswali umsaidie, nilijitahidi Sana kukwepa mitego, na ukizingatia watoto wa form four wanajua kuoga na ni wasafi, sketi kapigilia na guu la Champaign , nilipomaliza tu field nikawa najilipa nitakavyo.

Ila ukweli Ni kwamba wanafunzi hawafai maana Ni kujiweka hatarini, kwa hiyo maticha kuweni makini, unaweza kujikuta unaambulia mvua 30 za chap!
Hehehehe kikubwa tuwaache hawa watoto ni hazina ya baadae
 
Masikio yanasikiliza na yanachuja sasa walimu wa field wanashindwa kutongoza huko chuoni ???uje kuvitatua Vitoto hebu wakapambane na wenzao wa mjini DuCe au pale CoNas
Hao wanaokupiga mawe kwa hii mada inawezekana hawajavaa uhalisia wa binti zao kutongozwa na waalimu
Moja ya situations mbaya kishule shule ama kichuo chuo ni kutongozwa na anayekufundisha

Uko sawa kabisa kwa ulichokiandika....wabadilike wahusika
 
Inasikitisha sana...

Walimu siku hizi ni wadogodogo sana, tofauti na zamani, walimu ni mapande ya watu, heshima na adabu inakuwepo...




Cc: mahondaw
 
Inasikitisha sana...

Walimu siku hizi ni wadogodogo sana, tofauti na zamani, walimu ni mapende ya watu, heshima na adabu inakuwepo...




Cc: mahondaw
Kweli kabisa mkuu 20 - 23 ndio wanaoenda field mkuu kwakweli bado wadogo na wanakuwa sawa na wanafunzi kimiili hata akili pia inakuwa sio kubwa kivile......

ila sema mabinti tu wanakuwa na huruma na uoga, ila endapo issue kama hizo binti akireport kwenye vyombo husika, kwa tamaa za vijana za ngono hauwezi ruka viunzi lazima ukamatwe red handed na mwanafunzi akiwa pembeni yako....
 
Kweli kabisa mkuu 20 - 23 ndio wanaoenda field mkuu kwakweli bado wadogo na wanakuwa sawa na wanafunzi kimiili hata akili pia inakuwa sio kubwa kivile......

ila sema mabinti tu wanakuwa na huruma na uoga, ila endapo issue kama hizo binti akireport kwenye vyombo husika, kwa tamaa za vijana za ngono hauwezi ruka viunzi lazima ukamatwe red handed na mwanafunzi akiwa pembeni yako....

Binti wa siku hizi ku-report issue kama hizo ni ngumu sana... sababu wanazipenda kwanza...



Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom