Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 3,945
- 12,459
Iwepo lakini sio kila siku, wanasoma saa ngapi, masahahisho wanafanyiwa saa ngapi na ingekuwa inawasaidia tungeona matokeo ya darasa la saba mambo yakibadilika lakini ni yale yale shule za private hazina hiyo mitihani ya kila siku imebaki ile mitihani ya likizo tuu, na kama mwalimu anataka kuwajaribu watoto wake anaandika mtihani kwenye karatasi inatolewa kopi kesi imeishaMiaka yetu mihitani ilikuwa sana, hadi ya shule za ujirani kabla hata ya vikoba kuwepo wala mtandano wa Vodacom Tanzania kutokuwepo mitihani inaongeza ushindani na juhudi sana kwa wanafunzi.. Kama hela ipo wapeni watoto wakafanya jipime mbavu
Walimu kama kawaida yenu mna utahira mwingi mtaji wa ccm.Acheni watoto wapewe mitihani ya kuwapima bana, ukute gharama ya mtihani haizidi 3000 , hembu ficheni umaskini wenu
CCM imeingiaje hapo ndugu mzaziWalimu kama kawaida yenu mna utahira mwingi mtaji wa ccm.
Kabisa, anataka matokeo mazuri kwa mwanae lakini gharama anazikimbiaTafta hela acha kutia Huruma... Kama unaona haina MAANA NENDA SHULENI WAMBIE WALIMU MWANANGU LINAPOKUJA SWALA LA MITIHANI MTENGENII ASIFANYE . UNAKUJA KULIALIANNINI HAPA?.
Kopi kwa karatasi tatu iwe shilingi 3000?Khaaaa!Acheni watoto wapewe mitihani ya kuwapima bana, ukute gharama ya mtihani haizidi 3000 , hembu ficheni umaskini wenu
Nimepigia gharama za mitihani yoteKopi kwa karatasi tatu iwe shilingi 3000?Khaaaa!
Kopi ikiwa bei kuuubwaa ni sh.100.Okay,si mbaya lakini mitihani isizidi muda wa kujifunza na kufundishwa kwa wanafunzi.Kila siku!?Nimepigia gharama za mitihani yote
Hayaaaa hata kama ni sh 1000 ndo mje kulia huku kama ving'ora vya magari ya ndejembi..? πππ
Kwani mitihani ni kila siku..?Kopi ikiwa bei kuuubwaa ni sh.100.Okay,si mbaya lakini mitihani isizidi muda wa kujifunza na kufundishwa kwa wanafunzi.Kila siku!?
Kila baada ya siku mbili.Na wikiendi ni lazima washurutishwe kwenda shuleni.Kwani mitihani ni kila siku..?
Zamani tulikuwa tunafanya mitihani ijumaa au jumamosi kwani siku hizi imekuaje..?
Mzee enzi zetu hiyo mitihani tulikuwa tunaitafuta, na tulikuwa tuna wish kila wiki tupige, shule vs shule, yaani mtu unakaa unajiuliza wiki hii wapi kuna paper . sema pia nje ya hilo ndio tulikuwa tunapatiaga na mademu π€£π€£π€£Iwepo lakini sio kila siku, wanasoma saa ngapi, masahahisho wanafanyiwa saa ngapi na ingekuwa inawasaidia tungeona matokeo ya darasa la saba mambo yakibadilika lakini ni yale yale shule za private hazina hiyo mitihani ya kila siku imebaki ile mitihani ya likizo tuu, na kama mwalimu anataka kuwajaribu watoto wake anaandika mtihani kwenye karatasi inatolewa kopi kesi imeisha
Siku hizi sio mtihani ya kuwapima watoto uwezo, nakumbuka ilikuwa ikiandaliwa mitihani ya kata wanachaguliwa wa kwenda kufanya sio woteMzee enzi zetu hiyo mitihani tulikuwa tunaitafuta, na tulikuwa tuna wish kila wiki tupige, shule vs shule, yaani mtu unakaa unajiuliza wiki hii wapi kuna paper . sema pia nje ya hilo ndio tulikuwa tunapatiaga na mademu π€£π€£π€£
Bado watataka na hizo buku bukuMimi mawazo yangu, shule zianzishe kuwataka wazazi kupeleka walau karatasi za A4 bunda mbili kwa mwaka.