ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,269
- 9,997
Wazazi tupo humu kuponda walimu wakati malezi ya hovyo tunayo wapa watoto hatujioni.Mm sio nwalim ila kuna kaya ukienda unakuta kuna watoto hata adabu hayana kusalimia tu wakubwa hayawezi na kauli yanazo wajibu wazazi hapana kwa kweli mm ningekua mwalimu naona siku moja tu ningeua mtoto wa watu.Wazazi pia tuangalieni malezi yetu.... tunawapelekea walimu watoto washenz majeuri mpaka bas.