Nikiyafikiria mahubiri ya Leo kwba kuna viongozi ambao hawajui kuongoza na hawajui kwamba hawajui kuongoza,na kuna viongozi ambao wanajua kwamba hawajui kuongoza sasa huyu sijui atakuwa kundi lipi.kwahiyo walimu nao watakuwa wanachelewa shule kwa sababu usafiri ni mgumu
ni nani aliyeloga viongozi wetu kuwa na ufikiri mdogo sana
eeeh mungu angalia taifa lako tanzania
Kama ni kuwajali walimu angepigania maslahi yao yanayokwamishwa na serikali na si kitu kidogo kama naulihuenda ni kwa magari ya mradi wa mabasi yaendayo kasi hili litatendeka, bali ikiwa ni hizi daladala hapo hamna tija ni fedheha na dharau kubwa kwa Mwalimu, na hili litawaumiza sana akina mama walimu.
Kama wewe ni mwalimu basi kazi ipo!Huyu bwanamdogo ni jipu toka kitambo! Maamuzi mengine yafaa kuwa universal; k'ndoni siyo nchi, nawaunga baadh ya wadau hapo juu kwamba tatizo LA mwalimu ni zaid ya hiyo nauli!
Me ni mwalimu pia, nachoona hapo ni siasa kwenye mambo ya msingi! Maamuzu hayo hayajalenga kumsaidia mwlm was nchi hii Bali kumdhalilisha na kumfanya awe inferior. Yawezekanaje mwanafunzi anaelipa 200 akeshe kituoni na mwalm apande bure tukiamini atawahi kazini? Me naona anatutekenya walimu huku anacheka yeye!!!
Nasubir nione matokeo!
Fedha ni kichocheo cha kuhamasisha mtu kufanya mazuri kweli. Pia hali ya walimu kuhisi wanathaminiwa na kukubalika katika jamii yao nayo pia hutoa hamasa ya kufanya vizuri shuleni. Tumuunge mkono DC Makonda na tutowe mawazo chanya.Uzalilishaji kwa walimu waongezewe maslai wapewe ela za nauli waweze kusafiri kwa Uhuru huku ni kufanya walimu waonekane ni wafanyakazi Wa chini katika jamii yeye angesema wanafunzi wasafiri bure
Toa suluhu ya hayo uliyoyahisi kuwa yatatokea. Mbona tu mafundi wa kulalamika na kufikilia kushindwa tu?☝
KAMA NAWAONA WALIMU WATAVYONYANYASWA NA MAKONDAKTA WA DALADALA,
TENA BORA HATA WANAFUNZI WATATHAMINIWA KWA KUWA WANALIPA 200/=
KULIKO WALIMU WATAKAOPANDA BURE.
______
NAUONA MTITI ZAIDI PALE KONDA ANAPOONDOA GARI PALE MAWASILIANO AU MAKUMBUSHO KUELEKEA MBEZI, TEGETA, GONGO LA MBOTO
NA
MBAGALA AKIAMINI AKIAMINI KABISA KUWA BASI LIMESHAJAZA ABIRIA ZAIDI YA 40,
KUMBE WOTE NI WAALIMU!
____________
TASWIRA MPYA NAIONA PALE 97.8% YA WABONGO TUTAVYOGEUKA WAALIMU KWA KUTEMBEA NA VITABU VYA KEMIA NA CIVICS WAKATI NI WAMACHINGA TU WA PALE mtoni KWA AZIZI ALLI,
NA
IKIZINGATIWA HATUONI KAZI KUFOJI VITAMBULISHO VYA KAZI YA UALIMU ILI TUPUNGUZE MAKALI YA NAULI.
_____
INGAWA SIJAJUA KAKA'ANGU @KAKA_MAKONDA AMEANDAA STRATEGIES ZIPI,
ILA
NASUBIRI KUSHUDIA VICHWA VYA UTOSI NA MAKONZI WATAYOPIGWA NDUGU WALIMU KWENYE DALADALA.
NIMEMALIZA!
Tunaomba maelezo zaidi!Walimu wa shule za msingi na sekondari za umma mkoani Dar es Salaam wataanza kusafiri bure kwenye daladala kuanzia tarehe 7 Machi 2016.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paulo Makonda na viongozi wa vyama vya usafirishaji abiria jijini Dar wanazungumza na wanahabari hivi sasa.
Walimu wstatengenezewa vitambulisho maalum ili kuwaondolea usumbufu.
Huduma hiyo ni katika kuwapunguzia adha ya usafiri na ugumu wa maisha ikiwa ni pamoja na kuunga mkono juhudi za serikali za kutoa elimu bure.
Muda wa kuwasafirisha bure ni saa 11.30 hadi 2 asubuhi na saa 9 hadi 11 jioni.
Ikatokea gari ya siti 20 ikajaa walimu siti 15 itakuwaje??? Kwamba nae akubali tu hasara sioKama watatengenzewa kitambulisho ambacho kinawekeka mfukoni au kwenye handbags sioni Kama kutakuwa na manyanyaso mana mwalim ataingia kwenye Gari bila hata kujulikana Kama ni mwalim ila wakat wa konda anadai chake ndo pale anaonyeshwa kitambulisho, pia nafkiri iwekwe sheria kali kwa konda yoyote atakae mnyanyasa mwalim.mbona hatujawah kuskia wanajeshi wananyanyasika kwenye madaladala? Hii nchi sheria zikisimamiwa vizuri kila mtu atakuwa na adabu na hata mwanafunzi anaweza kusafiri bure tuache ujinga ujinga