Walevi wanajifariji sana

Walevi wanajifariji sana

Mleta mada, kwa kura za hapa hoja yako imekataliwa kwa nguvu.
TRA pia hawatakupenda.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji23] leo ndio nimethibisha ule msemo wa wahenga "ukitaka kujua nguvu ya mlevi umwage pombe yake"
Ila walevi mnaushirikiano sana, yaani mkianzisha chama halafu mkaingia kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi, kwa huo ushirikiano mnaouonyesha lazima muukwae uraisi na wabunge wa kutosha.
Nani kamwaga pombe yangu naulizaaaaaaa!!!!!!!!
 
Asante mkuu. Huwa nawaonea huruma sana wanapojitetea. Mara mimi nakunywa kwa mahesabu, mara ninaweza kuendesha gari nikiwa bwii. Yaani wanatumia nguvu kubwa sana.

Wewe uko Bar mkeo analiwa kimasihara na wahuni huko mtaani.

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Hapa mkuu umefeli. Unaweza ukawa Ofisini na mkeo analiwa kimasihara na muuze genge mtaani kwako. Mambo haya hayana formula.
 
Mlevi ni mlevi tu hata kama unakunywa bia mbili kwa siku bado hiyo ni pombe.

Kuna jamaa tunafanya naye kazi anatumia nguvu kubwa kujitetea kuhusu ulevi wake baada ya heshima yake kushuka. Hadi namuonea huruma.

Kuna baadhi ya ofisi huwezi kuaminika au kuheshimika kama unatumia kilevi.

Vijana tuwe makini na pombe, usifanye vitu kwa kufuata mkumbo ili uonekane na wewe wa kisasa.

Pombe itakuharibia kazi, heshima yako, ndoa yako na uhusiano wako na jamii.

Nimefaya uchunguzi binafsi kwenye taasisi tofauti, watu wasiokunywa pombe wanaaminiwa na kuheshimika kuliko wanaotumia kilevi.



Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Ngoja tujifariji

Ova
20200809_105207.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji23] leo ndio nimethibisha ule msemo wa wahenga "ukitaka kujua nguvu ya mlevi umwage pombe yake"
Ila walevi mnaushirikiano sana, yaani mkianzisha chama halafu mkaingia kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi, kwa huo ushirikiano mnaouonyesha lazima muukwae uraisi na wabunge wa kutosha.
Nani kamwaga pombe yangu naulizaaaaaaa!!!!!!!!
Jamaa wametisha kwenye huu uzi wanajitetea balaa

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
Hujui hata pombe ina ladha gani alafu unatoa ushauri wa pumba ambao hujui hata unamshauri nani,anyway pombe ni nzuri ukinywa kistaarabu
 
Mtu asiekunywa pombe akinishauri niache pombe kama ndio tupo maeneo mazuri huwa naenda kuchukua bieliii nakunywa mbele yake ili anishauri vuzuri.
 
Kama hunywi pombe endelea kushinda nyumbani na mkeo umsaidie kukuna nazi na kuosha vyombo

Huji pata mchongo wa maana

Watu tunadaka michongo ya maana kwenye gambe

NB; kunywa kistaarabu
 
Ulimbukeni na kuiga ni kubaya sana. Dogo tumemuajiri katoka chuo akiwa safi. Kufika ofisini anaanza kufuata mkumbo wa walevi utadhani mtoto wa form I au form II.

Vijana muwe makini na future zenu, familia zinawategemea.

Ninaongea kwa uchungu kama kaka yenu ninayewapenda, SIO KWAMBA NAWAONEA WIVU.

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Fanya juu chini ufunge viwanda vyote vya pombe
 
Mtu wa kwanza anayetakiwa kuheshimika nchini ni Rais wa Nchi,historia inainyesha Marais wote waliongoza Tanzania hamna ambaye hakuwahi kutotumia pombe.

So unachotaka kusema ni kwamba kutoka Nyerere mpaka Magu hamna hata moja aliyeheshimika kisa pombe???.

Poor argument.
 
Back
Top Bottom