Walevi wanajifariji sana

Walevi wanajifariji sana

jamii yetu na mitazamo tofauti
"mtu wa mademu saana huwa anamwona mlevi mpuuzi na mharibifu wa hela kwenye pombe na huku yeye kajisahau gharama anazotumia kumpata demu flani"

'maisha yafaa nini bila pombe'
 
Huyu jamaa anazungumzia pombe ama kulewa?/ulevi.?

Pombe na ulevi na vitu viwili tofauti..

Aende kule kwenye mada ya walevi akapate mrejesho wa msimamo wake.
 
Sisi wazee wa drilling mabosi wetu wengi wanakula sana mtungi na fegi so kama hutumii kimoja kati ya hivyo anakuona snitch na ni ngumu kuwa rafiki yake. So swala la kuaminika ofisini nadhani inategemea na aina ya kampuni na mabosi
Safi sana mzee baba kila kada na profesional yake kwa askari pia msalimie braza Masaba
 
Back
Top Bottom