Haka kakinywaji huwa kanaleta joto tatanishi Sana aisee!Ngoja chupa iishe ntamjib mleta madaView attachment 1532297
Asante mkuu. Huwa nawaonea huruma sana wanapojitetea. Mara mimi nakunywa kwa mahesabu, mara ninaweza kuendesha gari nikiwa bwii. Yaani wanatumia nguvu kubwa sana.
Wewe uko Bar mkeo analiwa kimasihara na wahuni huko mtaani.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Hakuna watu wanafki kama wasiyo kunywa pombe
Eti mwingine hanywi pombe lkn anajifanya anakuonea huruma pesa zako ohhh unatumia pesa vibaya Kwan ananisaidia kutafuta au anajua Channel zngu..... Alafu hyo asiye tumia pombe kutwa kwenda mjini na mabahasha na madocument
Oh kna dili nalifatiliaaaa dili Miaka nenda rudi halitusui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MAMBO YA KUPANGIANA MATUMIZI SIPENDI KABISA
wangari nko mtaa wa akiba bank Kino kna duka la mangi mmja tupo kama kawaida yetu kwenye ibada hapa karibuuu
Ova
Hakuna watu wanafki kama wasiyo kunywa pombe
Eti mwingine hanywi pombe lkn anajifanya anakuonea huruma pesa zako ohhh unatumia pesa vibaya Kwan ananisaidia kutafuta au anajua Channel zngu..... Alafu hyo asiye tumia pombe kutwa kwenda mjini na mabahasha na madocument
Oh kna dili nalifatiliaaaa dili Miaka nenda rudi halitusui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MAMBO YA KUPANGIANA MATUMIZI SIPENDI KABISA
wangari nko mtaa wa akiba bank Kino kna duka la mangi mmja tupo kama kawaida yetu kwenye ibada hapa karibuuu
Ova
Nyie msiokunywa kumbe mnaishi milele?Kweli kabsa pombe siyo kitu kizuri hata kidogo. Kuna siku nilisoma Uzi humu et imefama member wa humu kafa acheni pombe
Ha ha ha umetisha bosi. Sisi kazi yetu ni kushauri tu. Uamuzi wa kuacha tuwaachie wao.Walevi mmetisha sana kwenye huu uzi.
Ila mkumbuke familia zenu basi maana tunawaona wenzenu wengine huku mitaani wametelekeza familia kisa gambe.
Na pia muwe mnafanya ukaguzi wa mara kwa mara wa afya zenu kwani mtake msitake pombe ina madhara kiafya kwa kiwango chochote kile inachonywewa na hapa msilete ngonjera za "unywaji pombe kupita kiasi...".
Chengine mkumbuke starehe duniani sio pombe tu na sio kila anayekunywa pombe ni mjanja na mtu wa dili kama vile ambavyo wasiokunywa pombe sio wote ni washamba na wasiojua starehe.
Venginevyo endeleeni kula maji maisha ni kuchagua na kila mtu afurahie chaguo lake.
Mleta uzi wasindikize masela na wimbo wa "Dear gambe" kutoka kwa Young Killer Msodoki wasukutue koo kabla ya kushushia vyombozzz!.
Wewe kenge, mimi sijaajiriwa mimi na kluuu langu ndio tumeajiri vijana kama wewe.Bora umeliona kama mimi, watu kama hawa kazini upenda kujipendekeza na kuwachongea wengine.
Wana tabia za kishamba.
Sawa. Endelea kunywa kwa raha zako!We endelea kutokunywa pombe ili uzidi Kuaminika na kupandishwa Vyeo kwenye ofisi za Umma, Sisi walevi acha tue tuendelee kukutana bar tu discuss Dili za maana na mwisho wa siku tuendelee kushikilia investment zetu, Ile hali wewe ukilamba miguu ya ma boss zako na kusubiri promotion Kazini kwako
Malizia fastaNgoja chupa iishe ntamjib mleta madaView attachment 1532297
Watu wenye roho za kutu nyie,kazi kuwapiga mjungu watu makaziniWANASHUSHA POVU BALAA, HA HA HA ngoja niagize popcorn.
Kuna mlevi mmoja kaniambi mimi mweupe upstairs teh teh teh
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Alaf na mzuka flan wa kupaa[emoji23]Haka kakinywaji huwa kanaleta joto tatanishi Sana aisee!
Hii comment ntaichapishia sticker nibandike getoSitoacha pombe adi chupa za pombe waweke chai.
Pengine kapatkana wazee wakiwa drunkSasa msiokunywa mnajiona Jesus sana. Mnajifanya mnaijuuua Future utadhani nyie matajiri. Tusifokeane. Bila Pombe si ajabu usingezaliwa. Hebu kuwa na adabu.