Baraka21
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 1,265
- 3,177
- Thread starter
- #41
Ha ha ha hivi vitabu hivi.Soma hapa wewe View attachment 1862837
Ha ha ha hivi vitabu hivi.Soma hapa wewe View attachment 1862837
Si kweli, mimi marafiki zangu wengi ni malaya (machangu, wadangaji) na ndiyo wanaonipa madili ya mjini, mbon sijaharibikiwa? Wewe inabii ukamatwe haraka sana kwa upotoshaji huu.
Nitapata tenaUjumbe unagusa mule mule ukute jana umetumia laki kwenye pombe halafu asubuhi unaamka hata mia huna.
Nilichojifunza walevi tunaupendo kuliko nyie raia mnaojifanya ndo watakatifu.. how come unaomba ubarikiwe wakati pembeni yako unaona kunamtu hana hata viatu wala nguo nzuri na wewe unazo mpaka za ziada nyumbani..
Inatosha mkuuNilichojifunza walevi tunaupendo kuliko nyie raia mnaojifanya ndo watakatifu.. how come unaomba ubarikiwe wakati pembeni yako unaona kunamtu hana hata viatu wala nguo nzuri na wewe unazo mpaka za ziada nyumbani..
Alafu mbaya zaidi unakuwa mchungaji unamiliki hummer Mbili..
Unasahau Yesu alivyokwambia Zakayo au sio..
Alafu wachungaji ndo mnaongoza kula wake za watu siku hizi.. kwa kutumia sadaka za waumini
Kuhusu maendeleo.. walevi wengi wanamaendeleo kuliko wanywa soda kwanza huwezi lewa kama huna pesa..
Unataka niendelee au maana Nina johnnie walker kichwani hapa
Inatosha mkuu
Hahah yeahHa ha ha Luther alitafutwa ili auwawe sijui alijificha wapi
Na chai si pombePombe si chaiView attachment 1863317
Mvinyo kidogo hauzidi glass mbili for dry wine. Zile sweet hata ukipiga chupa nzima ni sawa.
Cheers 🥂
Sisi wanywa pombe ni watu safi sanaUfunuo wa Yohana 21:8
Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.
Naona hapa walevi hawajatajwa.. Neno la Mungu ni amina na kweli
Extrovert
Naona hamjatajwa mkuu 😀😀😀Sisi wanywa pombe ni watu safi sana
Hiyo mistari ni kutokana na wahubiri unaowasikia,wengi wanapenda kuhubiri sadaka tu na kuchambua mistari ya onyo tuMwisho wa siku mistari ya kukemea ulevi ni mingi zaidi..
Sisi huwa sio wanafiki na tunaupendo wa kweli,majirani zetu hatuwaachi hivi hiviNaona hamjatajwa mkuu 😀😀😀
Ila ipo kwenye biblie mkuu , sema kunywa pombe sio dhambi, dhambi ni matokeo baada ya unywaji pombe. Kama ukapiga masanga huyo unatililika mdogo mdogo hadi chumbani una show love kwa mke na watoto then ulala zako haina shida.. ila uki balance bible inakataa sana pombeHiyo mistari ni kutokana na wahubiri unaowasikia,wengi wanapenda kuhubiri sadaka tu na kuchambua mistari ya onyo tu