


Kuhusu kutembea wanatembea vizuri tu kwa kuongozw na fimbo maalumu ila kumbuka ulemavu wao ni wa macho sio miguu....Kama hawaoni wanatembeaje? au waneelekezwa?
Mkuu sijui hukunielewa mimi namanisha wanawezaje kujua hapa jni mahala fulani, nii njia, hii sio nia, hapa ni ghorofani, hili ni gitaa n.k ndicho nilichouliza hapa.Kuhusu kutembea wanatembea vizuri tu kwa kuongozw na fimbo maalumu ila kumbuka ulemavu wao ni wa macho sio miguu....
Kuhusu kuelekezwa ni rahisi tu maana ubongo wao unafanya kazi kana kawaida ila wanaandika kwa kutumia nukta nundu
Huwa wanakariri mkuuMkuu sijui hukunielewa mimi namanisha wanawezaje kujua hapa jni mahala fulani, nii njia, hii sio nia, hapa ni ghorofani, hili ni gitaa n.k ndicho nilichouliza hapa.
Alikua anapiga ngoma kumi kwa mpigo... Mdundo wa radio tanzania taarifa ya habari kapiga yeye.. .Alifabya jambo gani kubwa la kukumbukwa au kuishangaza dunia ?
Alishangaza nchi yake tu ila wananchi wa nchi ile hawajui kuitangazia dunia kabisa hadi leo nchi yake haijulikani sana duniani. Na bado hatajwiAlifabya jambo gani kubwa la kukumbukwa au kuishangaza dunia ?
Shukrani mkuu kwa kunijuza
Nimemfuatilia na kugundua kweli mzee alikuwa anapiga ngoma balaaView attachment 817573View attachment 817575
Mkuu Waafrika hatujitangaziMkuu Bitoz nadhani sasa umeamini kuwa hatujui kushangilia vipaji vya watu kama hawa ili dunia iwatambue.