Kiwembe 0
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 536
- 605
Kuna kipofu mmoja kwenye serikali ya JPM sijui ni naibu eaziri wa sheria
Kuna mtu anamfahamu ??? Naombeni kujuzwa
Kuna kipofu mmoja kwenye serikali ya JPM sijui ni naibu eaziri wa sheria
Kuna mtu anamfahamu ??? Naombeni kujuzwa
Kuna watu Tanzania (sio walemavu) lakini wamefanya mambo makubwa kweli kweli! Pamoja na yote hayo, hata Mbosso anafahamika zaidi kuliko hao watu! Michael Jackson anafahamika zaidi duniani kuliko mgunduzi wa umeme, gari, ndege, treni, roketi na matakataka yote unayoyajua wewe yanayohitaji big brain.Naona ukiwa kipofu kazi rahis ni hyo ya kuimba mziki tu hamna kipofu mcheza mpira au basketball hata mmoja[emoji851]
3/Ray Charles
![]()
![]()
![]()
Alizaliwa mwaka 1930 na kufariki dunia mwaka 2004 akiwa na umri wa miaka 73
Huyu alikuwa ni mwanamuziki mahiri wa nyimbo za injili,Jazz na Pop alikuwa pia na uwezo mkubwa wa kuandika nyimbo
Jamaa licha ya kuwa kipofu ila alikuwa ni bishoo wa kutupwa ujanani kuanzia nywele ,mapigo ya pamba hadi miwani nyeusi alichagua tu za kibishoo
Pia alikuwa ni mpenda totoz sliyepitiliza
Kaimba nyimbo kibao kama vile;
Seven Spanish Angels
Georgia On My Mind
I Can't Stop Loving You
Hit The Road ,Jack
Seven Spanish Angels