Walemavu wa macho 10 waliofanya mambo makubwa

Walemavu wa macho 10 waliofanya mambo makubwa

hongera botoz
hata hivo umemsahau yule mfaransa Braille(nahisi nmekosea jina). yeye ndie aliegundua yalee maandishi ya vipofu,
alipofuka akiwa mtoto ,

pia nafikili dada helen ni kiboko yao,she suposed to be at # 1.. afu huyu bro namba 2,, fikilia kalibia wote ni waandishi na walikuwa wanatumia maandishi ya huyu bro
......... ila big up ....nimeipenda
Shukrani kwa mawazo mazuri mkuu
Binafsi Hellen Keller ndio nimemkubali kuliko wote akifuatiwa na Petterson

Kuhusu huyo mlemavu wa macho Mfaransa aliyevumbua nukta nundu unayemsema nitafuatilia habari yake na kuiweka hapahapa ili iwe faida ya wengi
 
hongera botoz
hata hivo umemsahau yule mfaransa Braille(nahisi nmekosea jina). yeye ndie aliegundua yalee maandishi ya vipofu,
alipofuka akiwa mtoto ,

pia nafikili dada helen ni kiboko yao,she suposed to be at # 1.. afu huyu bro namba 2,, fikilia kalibia wote ni waandishi na walikuwa wanatumia maandishi ya huyu bro
......... ila big up ....nimeipenda
IMG_20180725_180227.jpeg
IMG_20180725_180136.jpeg
IMG_20180725_180307.jpeg

Aliitwa Louis Braille
Aliishi karbe ya 19 kwani alifariki mnamo mwaka 1852 akiwa na umri wa miaka 43 tu
Alipofuka utotoni baada ya kukumbwa na ajali
Alipata elimu baada ya kupewa udhamini na Shirika maalumu a wasioona na kujikita zaidi kuhusu elimu
Alisoma hadi chuo kikuu na kuwa Prifesa.......Muda wake mwingi aliutumia kuangalia jinsi ya kupambana na changamoto ziwapatazo watu wasioona ndipo akafanikiwa kugundua maandishi ya wasioona(nukta nundu)
 
b:IMG_20180725_180307.jpeg



kwa kunuweka jamaa roho yangu imesuuzika mno,namkubari sana Braille
Usijali mkuu mimi mwenyewe sikumjua kabla
Si unajua hakuna anayejua kia jabo hivyo post yako ilinisaidia kumfuatilia na kuelewa mengi kuhusu yeye
 
6/Jose Feliciano
7b4aab9675e34f84aa459269dccdd255.jpg
7bcfcf9b8dabeb19b978464369574b7d.jpg
666ba94c0f40e5dad4154346b54ed0db.jpg

Alizaliwa Septemba 10 mwaka 1945
Huyu ni msanii kutoka Puerto Rico
Ni mwimbaji na mtunzi/mwandika nyimbo mwenyenye mafanikio makubwa nchini humo na duniani kwa ujumla
Wimbo wake wa Feliz Navidad unakimbiza duniani kwa ujumla kila unapofika msimu wa sikukuu ya Christmass
Jamaa anaimba kwa kutumia lugha za Kilatini na Kiingereza hivyo kufanikiwa kuliteka soko la muziki kila pembe ya dunia
Nyimbo zake nyingine ni kama vile :
Su Hija Me Gusta
Light My Fire
Sikuwahi kujua hii, asante mkuu
 
Niamemkumbuka mwalimu wangu wa GS,alikuwa smart,intelligent,English ya kimarekani kabisa hakuna ze ze Kiranga huyu alikuwa shule yetu ile akikufundisha kipanga kama mie sina haja ya kurudia kusoma tena.
 
Niamemkumbuka mwalimu wangu wa GS,alikuwa smart,intelligent,English ya kimarekani kabisa hakuna ze ze Kiranga huyu alikuwa shule yetu ile akikufundisha kipanga kama mie sina haja ya kurudia kusoma tena.
We tunajua umeenda English Medium School, shule za Wabenzi mpaka School Bus, kwa hiyo si ajabu ukiwa na mwalimu kama huyo...hahahaha..
 
Yote kwa yote usiwe mlemavu wa chini jicho moja asisimame enh...Utapata tabu sana
 
We tunajua umeenda English Medium School, shule za Wabenzi mpaka School Bus, kwa hiyo si ajabu ukiwa na mwalimu kama huyo...hahahaha..
Mkuu Kiranga umewahi kuanzisha thread yoyote hapa Jf haswa Jamii Intelligence ?
Napenda sana maarifa ubayoyatoa jukwaani ila sijawahi kukutana na thread yako
 
Mkuu Kiranga umewahi kuanzisha thread yoyote hapa Jf haswa Jamii Intelligence ?
Napenda sana maarifa ubayoyatoa jukwaani ila sijawahi kukutana na thread yako

Chache sana.

Huwa naanzisha subthread ndani ya thread. Which some people find abhorrent because it destroy structure, but they just lack intelligence and imagination to see and appreciate connections.

Nikianzisha thread mpya anga la juu la dunia ya JF linaweza kupata moto kutokana na milipuko ya ki nuclear inayoweza kukosa wa kuzuia chain reaction.

Pia, inaweza kuonekana String Theory.

Kama juzi nimeingia katika thread moja nikapost historia ya Mama mmoja alikuwa waziri wa maendeleo ya nchi za nje wa Uingereza, mama akiitwa Clare Short. Mama alichachamaa akaibalasa serikali ya Uingereza kwa kuruhusu mikataba mibovu kati ya BAE na serikali ya Tanzania, mpaka akatoka uwaziri kwa kuwa na msimamo wa kuipinga serikali yake ilipofanya mabaya.

That woman is a profile in courage. What we need in leadership.

That post was worth a thread in itself.

But hardly anyone noticed.

The post was an open-ed Clare Short wrote in a British paper.

I am not sure that sort of thing is a good number of people's cup of tea.
 
Last edited:
Chache sana.

Huwa naanzisha subthread ndani ya thread. Which some people find abhorrent because it destroy structure, but they just lack intelligence and imagination to see and appreciate connections.

Nikianzisha thread mpya anga la juu la dunia ya JF linaweza kupata moto kutokana na milipuko ya ki nuclear inayoweza kukosa wa kuzuia chain reaction.

Pia, inaweza kuonekana String Theory.

Kama juzi nimeingia katika thread moja nikapost historia ya Mama mmoja alikuwa waziri wa maendeleo ya nchi za nje wa Uingereza, mama akiitwa Clare Short. Mama alichachamaa akaibalasa serikali ya Uingereza kwa kuruhusu mikataba mibovu katibya BAE na serikali ya Tanzania, mpaka akatoka uwaziri kwa kuwa na msimamo wa kuipinga serikali yake ilipofanya mabaya.

That woman is a profile in coirage. What we need in leadership.

That post was worth a thread in itself.

But hardly anyone noticed.

The post was an open-ed Clare Short wrote in a British paper.

I am not sure that sort of thing is a good number of people's cup of tea.
Nimekuelewa vema mkuu
Mara nyingi sana nimekukuta kwenye thread nyingi umefanya hivyo

Shukrani kwa ufafanuzi mzuri
 
Kuna kipofu mmoja kwenye serikali ya JPM sijui ni naibu eaziri wa sheria
Kuna mtu anamfahamu ??? Naombeni kujuzwa
 
Back
Top Bottom