Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Agiza redmi 4x 2gb ram16gb rom 280000/=
8e39a28dddda0d2d74e5d2cc8ea60ab0.jpg

d6e3b8269c0efbb1c29f10099fe399c4.jpg
Hii umeagiza mwenyew au kwa kumtumia Mwl RTC?
 
Xiaomi gani toleo gani



Vipi kuhusu ukaaji wake wa chaji?
Redmi note 4x... Nikichaji inakaa na chaji more than 24 hours with data on all the time.. Pia mi ninatumia sana simu almost all the time ipo mkononi.. So Kwa mwenye matumizi ya kawaida inaweza kuwa akatumia muda mrefu zaidi bila kuchaji
 
Xiaomi ni simu nzuri sana, ila huwezi fananisha na Brand ya iPhone..kwanini msifanananishe na huawei/lenovo/meizu/honor..acheni kujifariji hahahaha
 
Xiaomi ni simu nzuri sana, ila huwezi fananisha na Brand ya iPhone..kwanini msifanananishe na huawei/lenovo/meizu/honor..acheni kujifariji hahahaha
Hatuwezi kuifananisha ila inabidi ifananishwe hivyo coz IPhone iko strict sana Haitoi Uhuru wakati Xiaomi haina hiyo limit.

Pia inatumia line moja

Hatari
 
Xiaomi ni simu nzuri sana, ila huwezi fananisha na Brand ya iPhone..kwanini msifanananishe na huawei/lenovo/meizu/honor..acheni kujifariji hahahaha
Hazilingani ila zinafanana ndio msingi wa kuzifananisha.

Hazifanani na hizo nyingine ndio maana hazijafananishwa nazo.ushike moja siku moja utaelewa kwanini watu wameamua kuzifananisha na si swala la kujifariji.na kuna watu hawanunui iphone sababu tu ya mipaka yake na si vinginevyo.
 
Hazilingani ila zinafanana ndio msingi wa kuzifananisha.

Hazifanani na hizo nyingine ndio maana hazijafananishwa nazo.ushike moja siku moja utaelewa kwanini watu wameamua kuzifananisha na si swala la kujifariji.na kuna watu hawanunui iphone sababu tu ya mipaka yake na si vinginevyo.
Kujifariji Inaruhusiwa.
 
Bei ya Mi 5x,note 4x ya 32gb na 64gb,mi A1
Ipi kati ya hizo iko safi kwenye camera,battery na sehemu nyingine ni vizuri ukiniwekea kimpangilio au hata kama kuna option nyingine ni sawa naomba mwenye kufahamu anipe huo muongozo na bei inaendaje kwenye masoko ya nje kwa bajeti ya 350k mpaka 400k.Ahsanteh
Chief-Mkwawa msauziy na wengine Tafadhari
 
Bei ya Mi 5x,note 4x ya 32gb na 64gb,mi A1
Ipi kati ya hizo iko safi kwenye camera,battery na sehemu nyingine ni vizuri ukiniwekea kimpangilio au hata kama kuna option nyingine ni sawa naomba mwenye kufahamu anipe huo muongozo na bei inaendaje kwenye masoko ya nje kwa bajeti ya 350k mpaka 400k.Ahsanteh
Chief-Mkwawa msauziy na wengine Tafadhari
mi 5x na A1 ni simu moja ambayo inauzwa masoko tofauti. A1 imebase masoko ya magharibi nchi kama ulaya na software yake ni stock android wakati 5x sana ni masoko ya Asia na inatumia Miui software ya xiaomi. software zote mbili ni android tofauti ni muonekano na features tu.

Kati ya A1 na redmi note 4 perfomance ya hardware inafanana ila kuna utofauti kidogo.

kwenye A1 utapata
-camera nzuri kushinda note 4
-pengine kioo kizuri zaidi
-software updates za uhakika
-simu ambayo ni classic hasa kimuonekano.

kwenye note 4 utapata
-battery inayokaa na chaji zaidi
-bei rahisi.

kwa budget yako nafkiri note 4 inaleta maana zaidi.
 
Sio kujifariji mkuu, matoleo ya high-end ya MI unaweza kuyafananisha kabisa na hizo simu nyingine kama Samsung, Iphone. Kama MI Mix 2 ni flagships killer na unakila sababu ya kuicompare na hizo flagship nyingine kwa kila kitu, lakini MI inabaki kuwa nafuu always
a9d889c06c394a6299008997ac3db245.jpg
Point yako nishaipata, UNAFUU.na siwezi bisha kuhusu hilo suala.
 
Back
Top Bottom