Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Xiaomi mi max prime gb64 naiuza... contact me 0656853060
20180317_153632.jpg
 
Hahahahahahahahahahahaha

Waliichukuaje kama yao mkuu?
Sio waliichukua sema walizichukuaje, nilikuwa chumbani simu zipo sebuleni lakini karibu na mlango hivyo jamaa kafungua mlango wa mbele yaani sijui nikwambie vipi kavuka milango mitatu kabeba simu kaondoka nazo natoka kuangalia hakuna namuuliza bi mkubwa anasema yeye aliona kivuli kirefu akajua ni mimi niliumia sana baadae nikasikia "mwambieni XX aje achukue simu yake haiuziki" waliipeleka kwa fundi wa vichochoroni kuigusa tu ikarudi kichina ile nyingine waliiuza, kuanzia hapo ni tecno sitaki kuumia tena
 
Sio waliichukua sema walizichukuaje, nilikuwa chumbani simu zipo sebuleni lakini karibu na mlango hivyo jamaa kafungua mlango wa mbele yaani sijui nikwambie vipi kavuka milango mitatu kabeba simu kaondoka nazo natoka kuangalia hakuna namuuliza bi mkubwa anasema yeye aliona kivuli kirefu akajua ni mimi niliumia sana baadae nikasikia "mwambieni XX aje achukue simu yake haiuziki" waliipeleka kwa fundi wa vichochoroni kuigusa tu ikarudi kichina ile nyingine waliiuza, kuanzia hapo ni tecno sitaki kuumia tena
Ha ha ha ha ha ha ha sasa kwanini usirudi kuichukua simu yako?
 
Kwa yeyote anayehitaji case, charger, au protector za Xiaomi original na accessories nyingine ambazo hazipatikani nchini tuwasiliane kwa DM au 0759110633 WhatsApp/CALL/SMS.
859f8266d9d0cfb4122b7a83d94a59f9.jpg
a7ea09bf57c15c8e67070c13c1e70edc.jpg

076998c43661b5d0d70b3144ddd63db3.jpg
4002e5fd45414fda6f9ecdfd99009d4d.jpg
Mwenye kuhitaji TPU case na glass protector za Xiaomi redmi note 4x... Tuwasiliane kwa WhatsApp 0759110633
IMAG0285.jpeg
 
Back
Top Bottom