Endelea kuamini hivo hivo.Tuwasifie tu Wachina,lakini mchina anacopy na kupest vya wengine sana na bidhaa zao nyingi aziko imara.
I will never trust chines products bora hata wakorea hivyo ndivyo ninavyoamiani.Endelea kuamini hivo hivo.
Xiaomi wanatisha mkuu.Daah! Xiaomi mi note 2 ni nzuri sana hata Samsung anaanza kuigopa hii kampuni, maana sahivi jamaa wamesha piku mauzo ya Samsung nchini India.
Yap, unapatahivi nikiwa na 250 na mimi naopoa xaiomi ?
woyooooo nahama tekinooo nisaidie jinsi ya kufanya malipo alliexpress johYap, unapata
visa card ya crdb naweza tumia?Yap, unapata
Yap, unaweza kutumia.visa card ya crdb naweza tumia?
nisaidie kdogo jinsi ya kufanya baada ya kufika kwenye payment methods mkuuYap, unaweza kutumia.
Wanazo ila hizo bei zote ni mkasi sanaZipo ila bei yake ni kubwa sanaa, Ingia facebook watafute jamaa wa giants electronic wanazo.
Unazo za aina ganiYap, unapata
Tsh ngapiNatumia Xiaomi Mi5s. Ina 3GB Ram na storage 64GB.