Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Tuwasifie tu Wachina,lakini mchina anacopy na kupest vya wengine sana na bidhaa zao nyingi aziko imara.
 
Kwa yeyote anayehitaji case, charger, au protector za Xiaomi original na accessories nyingine ambazo hazipatikani nchini tuwasiliane kwa DM au 0759110633 WhatsApp/CALL/SMS.
859f8266d9d0cfb4122b7a83d94a59f9.jpg
a7ea09bf57c15c8e67070c13c1e70edc.jpg

076998c43661b5d0d70b3144ddd63db3.jpg
4002e5fd45414fda6f9ecdfd99009d4d.jpg
 
Daah! Xiaomi mi note 2 ni nzuri sana hata Samsung anaanza kuigopa hii kampuni, maana sahivi jamaa wamesha piku mauzo ya Samsung nchini India.
ac8547b3e92d6c596b8e3c29627a7460.jpg
 
Nawezaje kupata hizo simu hapa Tanzania bila ya kufanya manunuzi kwa online shoping km amazon, alibaba. ama e-bay ?
 
Zipo ila bei yake ni kubwa sanaa, Ingia facebook watafute jamaa wa giants electronic wanazo.
 
Back
Top Bottom