Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,012
- 13,270
Upo upooooo....unataka nikuletee uone?Mkuyenge upo kwwli... Tuanzie hapo
Upo upooooo....unataka nikuletee uone?Mkuyenge upo kwwli... Tuanzie hapo
Hapana...Asante kwa offerUpo upooooo....unataka nikuletee uone?
Sawa mchambuzi wa mikopoHata Sijui yupo wapi sikuwai kumfuatilia... Ni Miaka mingi Sana nyuma.
Kuna wanawake wanapiga vocal nyieeeee...
Kuna wadada wanajua kutupia nyavu haki wallah..
Niliwahi kupigwa vocal si la mchezo Hadi ikabidi baadae nijikague kwa kugusa mkuyenge Kama upo au nimebadilika jinsia ghafla maana sio kwa zile bembeleza zile ukimjibu "sawa Haina noma " anaona Kama umekataa hivi
Umeongea pointi sana, wanaume wengi wameshawahi kutongozwa na wanawake bila kujua.Ni dhana potofu kutokewa na msichana kwamba ni malaya.
Wasichana wanapenda pia. Tatizo wanaume wengi wagumu kuelewa lugha za mademu.
Mtu anajihidisha kukuongelesha kila siku pale ofisini, kupitita ana smile na kukuangalia hadi kisogo cha mwisho unapptezea.
Anakuamini hata kitu kidogo anakuuliza, unachukulia poa.. wakati kuna wanaume wanamkimbiza demu huyo huyo na anawatolea nje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka utongozwe na watoto?Mimi natongozwa na watu wazima tuu. Sijui tatizo nn
Ulimla?🙄 au ulimkataa??Kuna sehemu nilikua napiga mzigo kitambo kidogo,akaja demu (Mfanyakazi mpya) mmoja yupo vizuri kimuonekano,basi vidume vikawa vinapishana kila mtu kujaribu bahati yake,
Mimi nikawa busy na kazi yangu tu wala sikua na habari nae,cha ajabu akaja kunitaka mimi niliyekua sina habari nae na kuwatosa waliokua wakimuhangaikia! yaani alijileta mwenyewe kama vile Mbuzi ambavyo hua anajipeleka kwa Chatu.
Hapana mkuu, wengine ni decent kabisa. Mimi nakumbuka mwaka 2014 kuna mdada alinitongoza na nilimkuta bikra kabisa. Na alikuwa mcha Mungu sana.Wengi wanajirahisisha hivyo huwa ni Vimeo!
Hawa viumbe wakikuamlia hatari sanaa aiseeKuna wanawake wanapiga vocal nyieeeee...
Kuna wadada wanajua kutupia nyavu haki wallah..
Niliwahi kupigwa vocal si la mchezo Hadi ikabidi baadae nijikague kwa kugusa mkuyenge Kama upo au nimebadilika jinsia ghafla maana sio kwa zile bembeleza zile ukimjibu "sawa Haina noma " anaona Kama umekataa hivi
Ulimla?🙄 au ulimkataa??
hakuna kitu inatesa kama hii 😂😂 masikio yanawasha kupewa story/ umbea halafu haupati.....nijibu basi Kaka😂