MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,505
- 30,912
Aisee ukishangaa ya firauni utayaona ya Musa.
Kuna rafiki yangu mmoja dah, jamaa ana bahati sana yaani sehemu yoyote wakati wowote mkiwa nae lazima kuna kademu katamtokea. Hii imekaaje? Kweli wenye bahati hawabahatishi.
Hebu wenye bahati zenu mtujuze maujanja na sisi tupate hizo zali.
Kuna rafiki yangu mmoja dah, jamaa ana bahati sana yaani sehemu yoyote wakati wowote mkiwa nae lazima kuna kademu katamtokea. Hii imekaaje? Kweli wenye bahati hawabahatishi.
Hebu wenye bahati zenu mtujuze maujanja na sisi tupate hizo zali.