Wale wenye bahati zao waliowahi kutongozwa na wadada mje hapa

Kuna sehemu nilikua napiga mzigo kitambo kidogo,akaja demu (Mfanyakazi mpya) mmoja yupo vizuri kimuonekano,basi vidume vikawa vinapishana kila mtu kujaribu bahati yake,

Mimi nikawa busy na kazi yangu tu wala sikua na habari nae,cha ajabu akaja kunitaka mimi niliyekua sina habari nae na kuwatosa waliokua wakimuhangaikia! yaani alijileta mwenyewe kama vile Mbuzi ambavyo hua anajipeleka kwa Chatu.
 
Ni dhana potofu kutokewa na msichana kwamba ni malaya.

Wasichana wanapenda pia. Tatizo wanaume wengi wagumu kuelewa lugha za mademu.

Mtu anajihidisha kukuongelesha kila siku pale ofisini, kupitita ana smile na kukuangalia hadi kisogo cha mwisho unapptezea.

Anakuamini hata kitu kidogo anakuuliza, unachukulia poa.. wakati kuna wanaume wanamkimbiza demu huyo huyo na anawatolea nje.



Sent using Jamii Forums mobile app
Correct kabisa📌📌
 
Aisee ukishangaa ya firauni utayaona ya Musa.

Kuna rafiki yangu mmoja dah, jamaa ana bahati sana yaani sehemu yoyote wakati wowote mkiwa nae lazima kuna kademu katamtokea. Hii imekaaje? Kweli wenye bahati hawabahatishi.

Hebu wenye bahati zenu mtujuze maujanja na sisi tupate hizo zali.
hakika
 
Kuna wanawake wanapiga vocal nyieeeee...
Kuna wadada wanajua kutupia nyavu haki wallah..

Niliwahi kupigwa vocal si la mchezo Hadi ikabidi baadae nijikague kwa kugusa mkuyenge Kama upo au nimebadilika jinsia ghafla😅 maana sio kwa zile bembeleza zile ukimjibu "sawa Haina noma " anaona Kama umekataa hivi
 
Kuna wanawake wanapiga vocal nyieeeee...
Kuna wadada wanajua kutupia nyavu haki wallah..

Niliwahi kupigwa vocal si la mchezo Hadi ikabidi baadae nijikague kwa kugusa mkuyenge Kama upo au nimebadilika jinsia ghafla maana sio kwa zile bembeleza zile ukimjibu "sawa Haina noma " anaona Kama umekataa hivi
Mkuyenge upo kwwli... Tuanzie hapo
 
Ni dhana potofu kutokewa na msichana kwamba ni malaya.

Wasichana wanapenda pia. Tatizo wanaume wengi wagumu kuelewa lugha za mademu.

Mtu anajihidisha kukuongelesha kila siku pale ofisini, kupitita ana smile na kukuangalia hadi kisogo cha mwisho unapptezea.

Anakuamini hata kitu kidogo anakuuliza, unachukulia poa.. wakati kuna wanaume wanamkimbiza demu huyo huyo na anawatolea nje.



Sent using Jamii Forums mobile app
unachosema ni sahihi.....
Mfano kuna group la wasap nipo aisee kuna wadada wazuri tuu na watu hawana habari nao ila huko mitaani watu wanatafuta namba zao kwa udi na uvumba........

anyway, nilishwai kuwa approached once....niligundua kitu kimoja wanawake wanapenda utofauti....
Ktk mazingira niliyokuwepo peke yangu nilikuwa naonekana mcha Mungu....yaani jumapili church lazima, matusi ya rejareja no kumbe kuna kidada kilinipenda..akasubiri mpaka skukuu moja hivi akaniita somewhere akaelezea hisia zake..ila nikakapotezeaga tuuu
 
Kuna kamoja tulikaa siti moja kwenye hiace,kaka niuliza eti "kaka samahani unayafahamu maduka wanayo uza material ya kutengenezea sabuni za chooni hapa mjini.. Nika mjibu ndiyo, kakasema nataka kesho nifuate naomba namba yako ,nika mpa, saa kuminambili kananitumie text ati unafanya nini ? Nika mjibu nafua kakasema nije nikufulie =my love= nika mwambia njoo, akasema na mwogopa wifi , nika mwambia hayupo. Kakaniuliza nishukie wapi?nika mwelekeza . Baada ya dakika kadhaa mtu kaja..hakuna cha kufua wala material ya sabuni, ni kuniita tu majina mara ,love, hone, mara ametokea kunipenda. Abarikiwe mtaalamu alie gundua condoms, . Chupuchupu huyu demu alo nitongoza ni mwoe sema tu alikwenda nursing, ila huyu manzi tume dumu kwenye mahusiano kuliko mamanzi nilio wahi kuwa tongoza. MPaka sasa akiwa likizo lazima aje.. Field zote mkoani kwangu. Manze tufuteni dhana ya manzi akikutongoza ana kisasi au kahaba au gono,
Usimwache Huyo.
 
Aisee ukishangaa ya firauni utayaona ya Musa.

Kuna rafiki yangu mmoja dah, jamaa ana bahati sana yaani sehemu yoyote wakati wowote mkiwa nae lazima kuna kademu katamtokea. Hii imekaaje? Kweli wenye bahati hawabahatishi.

Hebu wenye bahati zenu mtujuze maujanja na sisi tupate hizo zali.
Karoge mkuu upate kutembea na kizizi
 
Miongoni mwa tofauti kati ya "Ke" na "Me"ni jinsi tunavyovutiwa na vitu. Wanawake wanavutiwa sana na Parsonality but Wanaume tunavyovutiwa zaidi na "Character"

so mdada ukiwa smart unavaa unapendeza una sim nzuri baaaasi ushamuweza bila kujali unafanya nn, una nn nk. ko kaka kama unataka kutongozwa we anza kushinda kwenye Dressing table afu utanipa mrejesho.
 
unachosema ni sahihi.....
Mfano kuna group la wasap nipo aisee kuna wadada wazuri tuu na watu hawana habari nao ila huko mitaani watu wanatafuta namba zao kwa udi na uvumba........

anyway, nilishwai kuwa approached once....niligundua kitu kimoja wanawake wanapenda utofauti....
Ktk mazingira niliyokuwepo peke yangu nilikuwa naonekana mcha Mungu....yaani jumapili church lazima, matusi ya rejareja no kumbe kuna kidada kilinipenda..akasubiri mpaka skukuu moja hivi akaniita somewhere akaelezea hisia zake..ila nikakapotezeaga tuuu
Kukapotezea ulikanyanyasa kisaikolojia
 
Back
Top Bottom