The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,168
- 51,124
Kuna sehemu nilikua napiga mzigo kitambo kidogo,akaja demu (Mfanyakazi mpya) mmoja yupo vizuri kimuonekano,basi vidume vikawa vinapishana kila mtu kujaribu bahati yake,
Mimi nikawa busy na kazi yangu tu wala sikua na habari nae,cha ajabu akaja kunitaka mimi niliyekua sina habari nae na kuwatosa waliokua wakimuhangaikia! yaani alijileta mwenyewe kama vile Mbuzi ambavyo hua anajipeleka kwa Chatu.
Mimi nikawa busy na kazi yangu tu wala sikua na habari nae,cha ajabu akaja kunitaka mimi niliyekua sina habari nae na kuwatosa waliokua wakimuhangaikia! yaani alijileta mwenyewe kama vile Mbuzi ambavyo hua anajipeleka kwa Chatu.