Wale wanaokula wake za watu, piteni hapa mpate funzo

Wale wanaokula wake za watu, piteni hapa mpate funzo

This is the most funniest excuse ever 4x only [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hao wamezoa na usikute jamaa kapewa mpaka vitu adimu, wewe unakwenda kistaha staha jamaa anapiga kata funua we ukifika unaonekana fala tu.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
duuuh mke wa mtu sumu ila jamaa hajafa simu haikua kali nini
 
swali la kizushi .....unafumania mkeo na mtu ambaye hata hujawahi kumtia/kumwona maishani mwako.....adhabu bado inakuwa kipondo cha mbwa mwizi????? kwa huyo mwivi wako????
 
Mbona hajafanywa kitu sasa analalamika hivo?
 
Hukustahili huruma kama hiyo aliyokufanyia. Alipaswa akuchape hswaaaa
 
Ni aibu na udhaifu mkubwa kumpiga mwanaume mwenzio hivi na kuendelea kuishi na malaya wako ndani.
 
He deserve even for a single hour mj ningemtigolize kabisaa mke anauma sana jaman achen ujinga
 
Ni aibu na udhaifu mkubwa kumpiga mwanaume mwenzio hivi na kuendelea kuishi na malaya wako ndani.
Kama ulijua ni mke wangu na ukatembea naee...yanii sitakupigaa nakutia ukilemaa kabisaa kama sio kifoo..!! Etii kisa mwanamke.!??? Tamaa zako pelekaa huko ilaa sio urafiki wa kisee umle mke wangu
 
Tatzo kuna wengne wanashoboka sana, Inafikia hatua anakuja kukuomba hela ya matumizi wakati anajijua ni mke Wa mtu
 
Kama ulijua ni mke wangu na ukatembea naee...yanii sitakupigaa nakutia ukilemaa kabisaa kama sio kifoo..!! Etii kisa mwanamke.!??? Tamaa zako pelekaa huko ilaa sio urafiki wa kisee umle mke wangu
😱😱😱
 
Tatzo kuna wengne wanashoboka sana, Inafikia hatua anakuja kukuomba hela ya matumizi wakati anajijua ni mke Wa mtu
Akishoboka nawe unakiwahi kibumbu...
Ukifumania mkeo kashobokea jamaa utafanyaje hapo
 
Only four times?? The owner of that wife isn't fair at all! Not fair kwa kweli.
 
Back
Top Bottom