Wale wanaokula wake za watu, piteni hapa mpate funzo

Wale wanaokula wake za watu, piteni hapa mpate funzo

Sasa kwa mtindo huo kama mwanamke anakubali mwenyewe na hakubakwa utaadhibu watu wangapi??? Watu inabidi wabadikike, kila mwanamke bila kujali kaolewa au laa atatongozwa, kazi kwake kukubali au kukataa, sasa mambo ya kuadhibu watu hivi wakati mwanamke kakubali mwenyewe na viuno kakata is unfair.

Its upon mwanamke kukubali au kukataa, ila kuadhibu wanaume si kutatua tatizo maana tatizo ni yule anaekubali, "Akili za kuambiwa changanya na zako"
Nenda alafu ulete mrejesho utakachofanywa, usione vimeelea vimeundwa
 
ni ujinga na ukosefu wa hekima kumwadhibu mgoni wako hivi
 
Raha ya kufumania uwe na nguvu, maana kuna watu waizi alafu mbavu kinoma bila uganga poteza nyeti atamuoa na mkeo kabsa
 
Hakuna haja ya kumpiga mtu anayekukazia mke wako.....labda tuu
Kama amem'baka,
Hapo unaweza ukamtoa hta roho....
Lakin kama kampiga saund mkeo, akaelewaaa.. we lia na mkeo tuu....

Ikiwa tiba yako ni kupiga, utapiga wangap mtaalam,? Chamsing tafuta mwanamke anayeweza kujisimamia.
 
Wanawake mlioolewa au wasichana mlio na wapenzi msikubali kuchepuka. Oneni madhila mnayowapa hao mnaochepuka nao. Hata kama mwanamke umetongozwa kataa na hakuna haja ya kumwambia mumeo kwani ukikataa unakuwa umekata mzizi wa fitna.
 
Back
Top Bottom