Mkuu sikia kwa jirani tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu una hii full story nini?
Maana inaonesha unaitambua
Hahaha!, hakuna ninacho jua kuhusu hili tukio sema nimekua zamani kidogo, koswakoswa na masimulizi mengi toka kwa masela kibao kwa matukio aina hii, [emoji16][emoji16][emoji16]Hahaha mkuu funguka tafadhari, kuna kakitu unataka kusema ila bado unakibana bana ivi
Eti Mara nne tu hajui mume /mke anauma hata kwa msj tu mbali na yeye Kulala nae 4Hivyo kipondo bado hakija mtoshea
Dawa ya moto ni motoMhh nawe katili mkuu!!
Wataalamu wa kiswahili cha siku hizi wanakwambia KUMLA JICHOAngeliwa na mtandao tu hakuna namna angefir.,.....w..a tu
Ndo maana yake ni kusambaratisha marinda tu hakuna namnaWataalamu wa kiswahili cha siku hizi wanakwambia KUMLA JICHO
Hahah
Sawa mkuu, vipi na mwanamke wako ungemfanyaje?