Wale wanaokula wake za watu, piteni hapa mpate funzo

Wale wanaokula wake za watu, piteni hapa mpate funzo

[emoji15] [emoji15] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji621] [emoji298] kila mla vya wenzake
Sasa si ni mke wako mwenyewe kajilengesha kwa mfano, unajua mwanaume ni ngumu kuchomoa mitego ya wanawake, akishawishiwa lazima aonyeshe uanaume..
utamwadhibu mmoja?
 
He deserve even for a single hour mj ningemtigolize kabisaa mke anauma sana jaman achen ujinga
Haha nimekuja kugundua tusiangalie upande mmoja tu lakini, yaani mwanamke hadi anakuja kupanua miguu hapo kuna tatizo la kiutashi ama ni malaya
 
Japo inauma lakn kukamua mke Wa mtu raha sana.. Maana anakuwa mtamu hasa ukimkunja au ukimgongea kwenye kitanda cha Mme wake.[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Japo inauma lakn kukamua mke Wa mtu raha sana.. Maana anakuwa mtamu hasa ukimkunja au ukimgongea kwenye kitanda cha Mme wake.[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Siku zote haramu ni tamu,chukulia mfano rahisi wa kitimoto.
 
Sasa si ni mke wako mwenyewe kajilengesha kwa mfano, unajua mwanaume ni ngumu kuchomoa mitego ya wanawake, akishawishiwa lazima aonyeshe uanaume..
utamwadhibu mmoja?
Usiendekeze zinaa mkuu. Mwanamke wa wizi ujue anapungukiwa mapenzi nyumbani kwake.
Ikitokea ukamnogesha, my friend huwa hawaelewi cha mshona shuka wala sanda. Utanaswa.
Na Kibumbu anakuachia"hichooooo'"
 
Usiendekeze zinaa mkuu. Mwanamke wa wizi ujue anapungukiwa mapenzi nyumbani kwake.
Ikitokea ukamnogesha, my friend huwa hawaelewi cha mshona shuka wala sanda. Utanaswa.
Na Kibumbu anakuachia"hichooooo'"
Mkuu nimewaza tu, mimi sio mdau ati
 
Wake za watu watamu, ila ukibambwa sasa shughuli yake ni pevu.
 
Mkuu nimewaza tu, mimi sio mdau ati
[HASHTAG]#101[/HASHTAG] imenifanya nikufikirie unapenda kwichino. Mke wa MTU usimuendekeze. Kiujumla, sisi wanaume tunajua mwanamke anapojilengesha. Epuka udhaifu.
Intelejensia hutumia sana wanawake.
 
[HASHTAG]#101[/HASHTAG] imenifanya nikufikirie unapenda kwichino. Mke wa MTU usimuendekeze. Kiujumla, sisi wanaume tunajua mwanamke anapojilengesha. Epuka udhaifu.
Intelejensia hutumia sana wanawake.
Haha [HASHTAG]#101[/HASHTAG] haya bwana
 
Chuoni kuna mke wa mtu tulisoma naye. Alikuwa mwoga wa chuo( masomo) japo uwezo alikuwa nao.
Akanizoea( wala sikuwa kipanga). Discussion gheto kwangu.mwanzoni alivaa ring. Baadae akaacha. Akaanza kuvaa nguo za kisista duu.
Nikamtazamaaaaa akashusha USO.
Kilichofuata Mungu alinisamehe. Ni hatari sana mke wa mtu.
 
Ingekua mimi ndo mwenye mke nisingemgusa huyo jamaa.

Ningejiuliza maswali haya muhimu kabla ya kufanya uamuzi,
1.Je mke tunaependana Kwa dhati kwanini anisaliti, kwanini amkubali mwanaume mwingine??
2.Je, upendo uliopoa una sifa zipi?? Huyu mwanamke bado ananihitaji maishani au kanichoka??
3.Je,upendo hulazimishwa? Nikimpiga mke au niliemfumania nae ntafaidika na Nini?? Kipigo kitambadili mke anipende??

Nikishapata majibu nitashkuru mungu kuijua siri kwamba sipendwi tena mana hata maandiko yanasema ndoa huweza kuvunjwa Kwa dhambi ya uasherati japokua wanang'ang'ania eti hadi kifo kitutenganishe Mi sitakua tayari kusubiri ukimwi ututenganishe hapo talaka kubwa ka gazeti la "Daily newz " itahusika tu ila sitagusa nyama wala mfupa wa mtu.
 
Ingekua mimi ndo mwenye mke nisingemgusa huyo jamaa.

Ningejiuliza maswali haya muhimu kabla ya kufanya uamuzi,
1.Je mke tunaependana Kwa dhati kwanini anisaliti, kwanini amkubali mwanaume mwingine??
2.Je, upendo uliopoa una sifa zipi?? Huyu mwanamke bado ananihitaji maishani au kanichoka??
3.Je,upendo hulazimishwa? Nikimpiga mke au niliemfumania nae ntafaidika na Nini?? Kipigo kitambadili mke anipende??

Nikishapata majibu nitashkuru mungu kuijua siri kwamba sipendwi tena mana hata maandiko yanasema ndoa huweza kuvunjwa Kwa dhambi ya uasherati japokua wanang'ang'ania eti hadi kifo kitutenganishe Mi sitakua tayari kusubiri ukimwi ututenganishe hapo talaka kubwa ka gazeti la "Daily newz " itahusika tu ila sitagusa nyama wala mfupa wa mtu.
Unajuaje kama alikupenda kwa dhati. Wanaume tusiwasemee wanawake.wanajua ni kwa nini wanakukubali wewe na sio mwingine.
Wanawake wanapenda vitu vingi mno. Hata perfume unayotumia inaweza kumfanya akutamani.
 
Back
Top Bottom