Anabahati jamaa alipanga kudedisha, ule utamu alioupta kwa yule mwanamke ndo kinyume chake hiki alichokipata, sidhani Kama atarudia, funzo tosha mazeeView attachment 689245
he doesnt deserve hiyo huruma alifanyiwa
haaahaaaa mwee anatisha hilo liuso utadhan gari limepasuka taa mojaView attachment 689245
he doesnt deserve hiyo huruma alifanyiwa
Cha mtu mavi.Funzo gani sasa??
Huyo na sehemu kama milembe kunamuhusu.. yaani hajatambua kosa lake.. ni jinga haswaaa.. dharau imemjaaa
Ah kumbe Mavi? Si ndio haya hayaCha mtu mavi.
Kweli mazee, dawa ni kutafuta demu mkali zaidi yake alfu unakula bata nae ukimfahamisha ajueMke naye atahitaji ka kibano kidogo, ni kuaibishana.
Mkuu una hii full story nini?Kweli mazee, dawa ni kutafuta demu mkali zaidi yake alfu unakula bata nae ukimfahamisha ajue
,
Ila kiukweli jamaa wakati anakula kisago alijua Israel siku hiyo anamchukua, sema jamaa lilijua limeua baada ya msela kuvunga kadedi, likamuacha ,Kwan hicho kipondo lazima mkojo ulipita
Ndiyo jibu. Kitu kama si chako kifananishe hivyo ili usikitamani.Ah kumbe Mavi? Si ndio haya haya
Tunayaona kwa kinyaa!