thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,116
[emoji3][emoji3][emoji3],mkuu tena ukute umeviziwa bila kujua [emoji23][emoji23][emoji16]Nasikia ata kama ni baunsa unakua mdogo kama piriton
[emoji3][emoji3][emoji3],mkuu tena ukute umeviziwa bila kujua [emoji23][emoji23][emoji16]Nasikia ata kama ni baunsa unakua mdogo kama piriton
Mimi sigongi front show... Mimi nadili na engine na rear exhaust tuuView attachment 689245
he doesnt deserve hiyo huruma alifanyiwa
Mi namuacha... Unajua tafsiri ya usaliti ni kwamba aliye nae hamtoshi... Kwahiyo akinisaliti najua simtoshelezi na muacha aendeKweli kabisa, kwa upande wako wewe utafanyaje ukiliwa mali yako?
4 times only....[emoji12] [emoji12] [emoji12]Huyo na sehemu kama milembe kunamuhusu.. yaani hajatambua kosa lake.. ni jinga haswaaa.. dharau imemjaaa
Yaani anaona ameonewa kabisa, kwasababu he did 4 times onlyhaahaaaa watu hawana huruma 4 times only mmemtenda hivi je ingekuwa 10 times si mngemuua mwee mweeee
Nakubaliana nawewe, shida hapo ni huyo mwanamke, lkn yataka ukomavu na ujasiri haswaa kumwacha kidume atembee... ukiangalia labda hilo tendo alilifanya katika nyumba yako kabisa ulioijenga wewe na kitanda au kochi ulilotengeneza mwenyeweSasa kwa mtindo huo kama mwanamke anakubali mwenyewe na hakubakwa utaadhibu watu wangapi??? Watu inabidi wabadikike, kila mwanamke bila kujali kaolewa au laa atatongozwa, kazi kwake kukubali au kukataa, sasa mambo ya kuadhibu watu hivi wakati mwanamke kakubali mwenyewe na viuno kakata is unfair.
Its upon mwanamke kukubali au kukataa, ila kuadhibu wanaume si kutatua tatizo maana tatizo ni yule anaekubali, "Akili za kuambiwa changanya na zako"
Yes,aisee,nanyofoa kichwa cha mtu!Haha ndio hadi utakapo mdaka mkuu
[emoji3][emoji3][emoji3]kwahiyo wewe ni Kata?Hahahahahaha kweli siri ya mtungi aijuaye kata,