Wale wanaokula wake za watu, piteni hapa mpate funzo

Wale wanaokula wake za watu, piteni hapa mpate funzo

Hahahaa hamna cha Hekima wala nini ni maisha tu yanatoa mafunzo ....ahsante pia
Hahaha mkuu sio wote waweza fanya hiyo kitu, basi Mungu akuzidishie hekima, ubarikiwe na amani yake iwe kwako.
 
Yaani anaona ameonewa kabisa, kwasababu he did 4 times only
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]

Hao wamezoa na usikute jamaa kapewa mpaka vitu adimu, wewe unakwenda kistaha staha jamaa anapiga kata funua we ukifika unaonekana fala tu.
 
Mimi ndo maana nawakimbiaga hao wake za watu maana hawa wapangaji home ningekula wake zao sema mwisho wake ni haibu itakupata
 
Nilijua yule jamaa wa clouds ambae huwa kimbelembele fiesta!mzee wa joniii
 
Back
Top Bottom