Wale tuliosoma Usagara sec-Tanga

Wale tuliosoma Usagara sec-Tanga

Me namkumbuka signatory ,na like life la hostely ya shule yan full kuruka ukuta kwenda kwenye koko uck ila usiombe ukamatwe na kaana
Hahahaa nakumbuka huyu kaana alitengeza solution kwa ajili ya kufanyia practical, baada ya kuitengeneza akasema hii storage bottle kubwa hutakiwi kuibeba ,cha kufanya kila group awe anakuja MTU mmoja mmoja anamimina ili kila group liweze kupata hiyo reagent, cha ajabu Jamaa angu Aitwae Kinyanyame kumbe maskini hakumsikia kaana pindi anatoa maelekezo, yy akaenda kubeba container yote - Jamaa aliwashwa Kofi , na laboratory yote tukagugumia kumcheka sana.
2013 hiyo, Vijana wa Sadani Mzee wa " alewiiii, alewaaaa"
 
Haya bana classmate 2009. Mr. Kisinza Hostel master. Pia nakumbuka tukio la wanafunzi wa kiislam CBG kutaka kumuua mwl GS kwa ajili kusema vibaya mtume wao. Mkwizu Mkuu aliyekuwa anatumia usafiri wa baiskeli kutoka usagara mpaka sahare
Yupo sua sahv yule ticha
 
2013 nlimaliza pale saadan tulimgomea akatolew vita ya kidin vyanzo vingi pamoja na mm kuchora picha na maneno ya kidin ubaon siku ya kipindi cha dini ikawa sheeda tulifukuzw km wiki mbili. Nikaenda kibiti tena nikavizia nguruwe pori tukamla kulikuw na watu wananihic muhamiaj msako mkali ukapitishw polis walikuja watu wakaonekana na visu kweny trank zao tukafukuzw tena kibiti huku nikisakwa mm mapemaa mbagala rangi tatu nashukuru mungu
 
Wale mliokuwepi kwenyw lile varangati la kwenda kupiga wanakijiji pale usagara mabangi kisa mwenzenu kaibiwa simu mje hukuuuuui
Tulichezea kichàpo toka kwa askar wa kike sitosahau
Hahahaa nakumbuka huyu kaana alitengeza solution kwa ajili ya kufanyia practical, baada ya kuitengeneza akasema hii storage bottle kubwa hutakiwi kuibeba ,cha kufanya kila group awe anakuja MTU mmoja mmoja anamimina ili kila group liweze kupata hiyo reagent, cha ajabu Jamaa angu Aitwae Kinyanyame kumbe maskini hakumsikia kaana pindi anatoa maelekezo, yy akaenda kubeba container yote - Jamaa aliwashwa Kofi , na laboratory yote tukagugumia kumcheka sana.
2013 hiyo, Vijana wa Sadani Mzee wa " alewiiii, alewaaaa"
 
Kisinza ana mke mremboo,alikuwa anaonekana nje kwa nadra sanaaa
 
Naona vijana weeengi hakuna hata anayemuongelea Mood-Headmaster

Vipi vijana wa Leo, form five bado mnawafanyia mambo Fulani mzimuni????
 
Naona vijana weeengi hakuna hata anayemuongelea Mood-Headmaster

Vipi vijana wa Leo, form five bado mnawafanyia mambo Fulani mzimuni????


Huyu mzee wa physics advanced

Wakam- demote......mzee wetu akafariki RIP MUD
 
Mama Mungure mzungu mke wa mpare

Mama hesabu adv
 
Back
Top Bottom