Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,206
nakumbuka udini usikuwa wa maana na migomo ya ajabuajabu kugomewa kwa graduations za shule kutofanyka nakadhalika na migomo hii iliyofanywa na advance pind nikiwa o-level pale na niliapa kama advance ningepangiwa pale tena nisingeenda anyway hila kuna huyu headmaster alifanikiwa kuitatua lakin si kwa kiasi kikubwa baadae alihamishiwa galanos nasikia sa hiv kashastaafu nishamsahau jina