KWEZISHO
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,519
- 6,522
Mzee tukikutana na watu wa Jumuia Sec., huwa hadithi za nani ataibuka mbabe. Mechi ikiisha ni vichapo vya kufa mtu.Daar aisee 90s kitambo sanaa kwel jf inatuleta pamoja maana hii miaka mm natambaa watu wanapiga shule na kupishana koridon usagara

