Wale tuliosoma Usagara sec-Tanga

Wale tuliosoma Usagara sec-Tanga

Daar aisee 90s kitambo sanaa kwel jf inatuleta pamoja maana hii miaka mm natambaa watu wanapiga shule na kupishana koridon usagara
Mzee tukikutana na watu wa Jumuia Sec., huwa hadithi za nani ataibuka mbabe. Mechi ikiisha ni vichapo vya kufa mtu.
 
Toka 76 basi USAGARA bonge ya skonga.
hivi wale wa miaka hiyo
masuala ya udini yalikuwepo?
 
Hahaha jf forum ukute ww nimshikaj Wang tulikuwa tunakesha wote mbu area tunakula msuli ilaa kisa ID hatusoman
Dah kitambo sana nimkumbuka jamaa yule Salimu hivi yupo pande za wapi?
 
Toka 76 basi USAGARA bonge ya skonga.
hivi wale wa miaka hiyo
masuala ya udini yalikuwepo?
Zamani ile shule ilikuwa ya Wahindi na baadae ikachukuliwa na Serikali. Mbona hakukuwa na udini. Walikuwepo wanafunzi wa dini zote napia walimu walikuwa mchanganyiko wa dini zote. Tulikuwa pamoja kwenye michezo, skauti na Red Cross, sikuwahi kuona mambo ya udini. Nakumbuka kulikuwa na kwaya nzuri sana. Mimi nilikuwa Mapinduzi House na kiranja wetu alikuwa Mkristo. Tulikuwa tuna ushirikiano wa hali ya juu. Mtifuano ulikuwepo wakati wa uchaguzi wa Head Prefect kati ya Kidato cha Tano na Sita huku hawa kidato cha kwanza hadi cha nne wakiwa na mgombea wao. Kuna wakati kidato cha tano na sita walifanya mgomo na tuliwasaidia sana kwa kuhakikisha wanakuwa na umoja. Huo mgomo ulisaidia kupatikana kwa walimu wao kama kina Mohamed na wengineo.
 
Toka 76 basi USAGARA bonge ya skonga.
hivi wale wa miaka hiyo
masuala ya udini yalikuwepo?
Hapana palikuwa hamna udini. Usgara ya zamani sana kabla ya hapo ilikuwa inaitwa Kamrijee sec.
 
Haya bana classmate 2009. Mr. Kisinza Hostel master. Pia nakumbuka tukio la wanafunzi wa kiislam CBG kutaka kumuua mwl GS kwa ajili kusema vibaya mtume wao. Mkwizu Mkuu aliyekuwa anatumia usafiri wa baiskeli kutoka usagara mpaka sahare
Hahaaa long time aisee kambi ya fidifosi ilihamia pake skul,
Ila hapo kwa mkwizu umempa maujiko sana mzee alikuwa mkoloni yule alikuwa anatembea kwa mguu, akiingia yeye tu geti lina fungwa,
Akipata wito wa kikao anatumia LORI la shule na lilikuwa haliwaki hadi darasa moja litolewe mkalisukume.
Kweli usagara sitakusahau...
 
Shule ameisoma bi Mkubwa wngu, aliniambia majengo yake yanafanana na Azania , Tambaza.
 
Hahaaa long time aisee kambi ya fidifosi ilihamia pake skul,
Ula hapo kwa mkwizu umempa maujiko sana mzee alikuwa mkoloni yule alikuwa anatembea kwa mguu, akiingia yeye tu geti lina fungwa,
Akiata wito a kikao anatumia LORI la shule na lilikuwa haliwaki hadi darasa moja litolewe mkalisukume.
Kweli usagara sitakusahau...
Hahaa dah umenikumbasha mbali sanaa. Haf we si tulikuwa tunakaa palee anex cube iliyo karibu na galax
 
Hapana palikuwa hamna udini. Usgara ya zamani sana kabla ya hapo ilikuwa inaitwa Kamrijee sec.
Samahani mzee wangu naomba niweke sawia kumbukumbu, ni Karimjee Secondary School
 
Shule ameisoma bi Mkubwa wngu, aliniambia majengo yake yanafanana na Azania , Tambaza.
Nikweli kabisa hayana tofauti...
5ec045220ca664b428cd0d7fbb375b52.jpg

794e20bc032f9db6faa587a9e4c25f06.jpg
 
Ndio pamoja na Tambaza, Azania zote hizi zilikuwa mali ya karmjee family.
Ni sawa sawa, shule pamoja na ukumbi wa Karmjee Hall pale Dar vyote vilikuwa vya familia ya Karimjee Jivanjee. Ni familia tajiri sana ila kuna siku hawa Wahindi watadai mali zao, sijui itakuwaje.
 
Ahahaha nlikuwa napita kwnye tundu pale nyuma jikon usiku naenda zangu penta kula beer..advance bna
 
Hahaha 2011 pcm
Aisee, inabid one time tufanye kama get together hivi.

2011 tuliwaacha na sadani

Unakumbuma lile varangati la mwanetu wa cbg aliefariki kwa kuharisha? Watu tukakisanua ile mbayaaa, akaJa yule mamvi a.k.a Mmatumbi watu wakaanza kupiga mawe juu ya bati jikon kule

Nimemis kuwahi Top
 
Back
Top Bottom