kampelewele
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 2,998
- 2,414
Miaka mitatu bado upo katika mwezi wa asali ndugu bado hakijachanganya. Ukifikisha miaka 15 ndipo unaweza kujibu hoja ya mtoa hojaNioe mara ngapi sasa?
Niko kwenye ndoa mwaka wa tatu mkuu ila hicho kituko sijawahi kukutana nacho kabisaaa