Amini nawaambieni!
Wale matapeli wa ile pesa tuma kwenye namba hii wanapata taarifa kutoka kwa baadhi watoa huduma ya simu wasiokuwa waaminifu!
Ukitaka kujua hilo! "Ongea dili lolote na mtu kwa simu mufanye kama mnapatana na kuelekezana kwamba akutumie"
Baada ya kumaliza mazungumzo utashangaa miongoni mwenu mmoja atapokea ujumbe mfupi unaosomeka "Ile pesa tuma kwenye namba hii"
Hiyo ni moja ya ishara ya baadhi ya watoa huduma hususani wanaosikiliza mawasiliano yetu kwa usalama wetu! Wamekuwa siyo waadilifu!
Mfano wa pili , Kwa akili ya kawaida tu kama waliweza kipindi kile kusikiliza sauti za wale viongozi wa ccm walipokua wanaiponda serikali ya awamu ya tano(Magu)! Na Zile sauti zilivuja nini maana yake?!
Wanashindwaje kuvujisha story za maokoto kwa matapeli? (Baadhi yao siyo waadirifu)
Sababu nyingine inayothibitisha wale matapeli wanahusiana na baadhi ya watoa huduma!
Ni Vile punde baada ya kumaliza kutapeli zile laini huwa zinasomeka HAZIPO! (Doe's not exist)
Je, nani mwenye access ya kufuta mawasiliano kama hana mafunzo ya kufanya hivyo?
Wale matapeli wa ile pesa tuma kwenye namba hii wanapata taarifa kutoka kwa baadhi watoa huduma ya simu wasiokuwa waaminifu!
Ukitaka kujua hilo! "Ongea dili lolote na mtu kwa simu mufanye kama mnapatana na kuelekezana kwamba akutumie"
Baada ya kumaliza mazungumzo utashangaa miongoni mwenu mmoja atapokea ujumbe mfupi unaosomeka "Ile pesa tuma kwenye namba hii"
Hiyo ni moja ya ishara ya baadhi ya watoa huduma hususani wanaosikiliza mawasiliano yetu kwa usalama wetu! Wamekuwa siyo waadilifu!
Mfano wa pili , Kwa akili ya kawaida tu kama waliweza kipindi kile kusikiliza sauti za wale viongozi wa ccm walipokua wanaiponda serikali ya awamu ya tano(Magu)! Na Zile sauti zilivuja nini maana yake?!
Wanashindwaje kuvujisha story za maokoto kwa matapeli? (Baadhi yao siyo waadirifu)
Sababu nyingine inayothibitisha wale matapeli wanahusiana na baadhi ya watoa huduma!
Ni Vile punde baada ya kumaliza kutapeli zile laini huwa zinasomeka HAZIPO! (Doe's not exist)
Je, nani mwenye access ya kufuta mawasiliano kama hana mafunzo ya kufanya hivyo?